Hajabuni kitu,,amekopi na kupesti.
U mean idea ya BSS sio ya kwake?
Nampenda sn huyu mama hongera zake
Kumbe! nimekumiss Maria Roza uko powa/Nampenda sn huyu mama hongera zake
Mshenzi kabisa,anatuibia pesa zetu . Anatuambia tutume sms kwa wingi 'kumchagua mshindi,kumbe mshindi,anampa amtakae yeye,kitendo cha Master J Kuita washabiki eti washamba wanampapatikia Joseph Payne eti kisa ni mzungu ,na madam Rita kusema mzungu kitu gani,kimenichafua .Nimemdharau sana ule mama .Ameonyesha ni jinsi gani Busara na Hekima kwake ni F.
Nimefurahishwa na ubunifu
Uzalendo hata mimi naunga mkono,kama walijua yote hayo Mzungu wangemchuja mwanzo uwezo si walikuwa nao,mi kilichoniboa matusi yao .sasa jitu si uzalendo jamani!
wasamehe bana!
Hawajabuni wameiga............Wale ni matapeli wamebuni njia ya kuishi mjini.
KWELI MKUU.LAKINI NGOZI NYEUSI INA MATATIZO GANI,HAIJI NA KITU KIPYA YANI NI COPY and PASTE.