johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,133
Madaktari Wasio na Mipaka ambao wamekuwa Msaada mkubwa kwa majeruhi wa Palestine huko Al Aqsa Hospital Gaza City wametangaza kuondoka kwa Sababu za kiusalama
Madaktari hao wamesema Israel imekuwa ikiishambulia hospital Hiyo mara kwa mara
Source Al jazeera news
Madaktari hao wamesema Israel imekuwa ikiishambulia hospital Hiyo mara kwa mara
Source Al jazeera news