View attachment Kilio.docx
Madaktari wanalilia kuondokana na hali hii. Utashangaa wengine wanang'ang'ania kuwa eti Madaktari wanataka mishahara minono.
Ikiwa hii ndiyo hali ya hospitali zetu nyingi, kuna tofauti gani ya hali hii na kifo? Ona tu mwenyewe.. afu uendelee kulalama kuwa madaktari wanataka mishahara minono..
source ya picha Wavuti.com
Madaktari wanalilia kuondokana na hali hii. Utashangaa wengine wanang'ang'ania kuwa eti Madaktari wanataka mishahara minono.
Ikiwa hii ndiyo hali ya hospitali zetu nyingi, kuna tofauti gani ya hali hii na kifo? Ona tu mwenyewe.. afu uendelee kulalama kuwa madaktari wanataka mishahara minono..
source ya picha Wavuti.com