Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Sekta ya afya haiongozwi na Madaktari tu ni upuuzi wa Madaktari kutusemea sisi watumishi wa kada zingize za afya ambao hatujashiriki mikutano yao kifupi wamechumka na kesho watafanya kazi tu hao ni wababaishaji wanadanganywa na Madaktari waliokimbia kazi zao kama Kingwangala na mpiga domo wa clouds fm maroo
hata kama hutagoma u can not clac a patient, u are not a prescriber n u can nt do surgery. Kazi yako ni kutoa dawa au kuzoa mavi ya wagonjwa. If u a real health personel at the end utaunga mkono tu!