mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
Baada ya kikao cha madaktari wanaofanya kazi katika taasisi ya saratani ya ocean kuhusu mgomo unaoendelea wa madaktari kote nchini, tumeazimia mambo yafuatayo:
1. Sababu za mgomo wa madaktari ni za msingi.
2. Maamuzi na majibu ya serikali hayatoshelezi,hayaridhishi na hayakidhi mahitaji ya madaktari.
3. Kutokana na haya tajwa hapo juu,sisi madaktari wa ocean road tunaungana na madaktari wote nchini kusitisha utoaji huduma mpaka hapo ufumbuzi utakapopatikana.
Tunawaomba radhi sana wagonjwa wetu wapendwa kwa usumbufu utakaojitokeza katika kipindi hiki cha mpito. Ni matarajio yetu kuwa huduma zitakuwa BORA ZAIDI baada ya kipindi hiki kigumu.
Wenu katika utumishi wa umma,
MADAKTARI WA OCEAN ROAD.
08/03/2012
1. Sababu za mgomo wa madaktari ni za msingi.
2. Maamuzi na majibu ya serikali hayatoshelezi,hayaridhishi na hayakidhi mahitaji ya madaktari.
3. Kutokana na haya tajwa hapo juu,sisi madaktari wa ocean road tunaungana na madaktari wote nchini kusitisha utoaji huduma mpaka hapo ufumbuzi utakapopatikana.
Tunawaomba radhi sana wagonjwa wetu wapendwa kwa usumbufu utakaojitokeza katika kipindi hiki cha mpito. Ni matarajio yetu kuwa huduma zitakuwa BORA ZAIDI baada ya kipindi hiki kigumu.
Wenu katika utumishi wa umma,
MADAKTARI WA OCEAN ROAD.
08/03/2012