Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
ukweli ni kwamba watendaji wamechoka kuburuzwa na politicians, madockta mmelianzisha, maticha tuko njia moja,
Wana bahati mimi siyo Rais walahi ningewakomesha..
JK ana huruma na uvumilivu uliozidi kweli aise JK una hekima sana.
Jamani hii inasikitisha sana, imagine mgonjwa wa saratani anaposoma habari hii. Pinda do something.
Mnawaomba radhi wakati mnajua watakufa na saratani? Muwapelekee ujumbe makaburini.
Wana bahati mimi siyo Rais walahi ningewakomesha..
JK ana huruma na uvumilivu uliozidi kweli aise JK una hekima sana.
Safari hii hakitakuwa kipindi cha mpito, nyie ndo mtapita...mnakera sana.Tunawaomba radhi sana wagonjwa wetu wapendwa kwa usumbufu utakaojitokeza katika kipindi hiki cha mpito. Ni matarajio yetu kuwa huduma zitakuwa BORA ZAIDI baada ya kipindi hiki kigumu.
Mtasema na kuwaita vyovyote lakini suluhu ni kuwasikiliza na kutekeleza matakwa yao hakuna jinsi.wauaji wanaendelea kuungana ni mateso kwa wagonjwa yasiyo ya lazima.
kwa mtu wenye akili ndogo kama mimi nafikia kuona kinyume nyume kwamba ni kama kosa ni serikali kukaa meza moja na hawa jamaa wauaji meza moja wakati wa mgomo wa kwanza. Wamemshika baba yao sharubu na sasa wanataka kuzikata Jk angesimama kidete angefukuza wote hawa liwalo na liwe haina tofauti na wakigoma bado wagonjwa wanakufa sawa tu na kuwafukuza
Madaktari hawana haki ya kumshinikiza Rais kumwachisha kazi waziri asiye na tuhuma yoyote.
Hawa madaktari wachukuliwe hatua kali sana iwe fundisho, hao interns wote waliogoma wafukuzwe na hao madaktari wote wafukuzwe haraka sana, hata kusikilizwa wasisikilizwe, na serikali ihakikishe hata wakiondoka nje ya Tanzania, wasipate kazi huko.
Anyekusaliti ni raisi wako uliyemchagua kwa kipande cha kanga. Hili liwe somo kwetu kuchagua viongozi wanaoweza kututetea. Madaktari wnagoma anaacha kuongea nao anaongea na wazee wa Dar.Stupid nnon sensehii ni wazi kwamba wasomi wa tanzania wanawasaliti wasiosoma.
Kwa hiyo rais ana haki kuwalazimisha madaktari kufanyakazi.Madaktari hawana haki ya kumshinikiza Rais kumwachisha kazi waziri asiye na tuhuma yoyote.
Hawa madaktari wachukuliwe hatua kali sana iwe fundisho, hao interns wote waliogoma wafukuzwe na hao madaktari wote wafukuzwe haraka sana, hata kusikilizwa wasisikilizwe, na serikali ihakikishe hata wakiondoka nje ya Tanzania, wasipate kazi huko.