Hapo sielewi, hao ni watu gani?Sisi walipa kodi ndo tuna athirika, ila mafidi wata enda kwenye hospital zao wanazo miliki kwa kuzombea huko dawa zetu..ILA ipo siku tu yataisha kwani hamna marefu yasiyo na mwisho..
Kama itatangazwa dharura hakuna kitu kinachoita MAT wala matairi kitazingatiwa.the doctrine of necesity shall applyUtaratibu wa madaktari kutoka nchi za nje kuja kufanya kwetu wanahitaji usajili hapa nchini na lazima MAT pia washiriki kwa hiyo kuna kazi hapo
ndipo na sisi wananchi tutakaposema hatuwezi kuguswa miili yetu kama midoll lazima tujue hao wanaqualify kudiagnose na kuprescribeKama itatangazwa dharura hakuna kitu kinachoita MAT wala matairi kitazingatiwa.the doctrine of necesity shall apply