Madaktari acheni upuuzi na kiburi...!!! Fanyeni kazi

Hivi unajua watumia muda gani school kabla ya kufuzu!? 19yrsbila kuhesabu ile ya kukaririshwa nay a pre-schoo (chekechea). Hii ni ktkkusisitiza umuhimu wa fani yao! Afu www unakuja na akiri za kimatapishix2 tueti udaktari ni kama fani zingine, ebo!
Wangegoma fani zingine kungekuwa na kelele zote hizi!?
 
Hivi unajua watumia muda gani school kabla ya kufuzu!? 19yrsbila kuhesabu ile ya kukaririshwa nay a pre-schoo (chekechea). Hii ni ktkkusisitiza umuhimu wa fani yao! Afu www unakuja na akiri za kimatapishix2 tueti udaktari ni kama fani zingine, ebo!
Wangegoma fani zingine kungekuwa na kelele zote hizi!?
QUOTE]

kumbe wewe huna akili za kufikiri vizuri eeeh, kwani, laywer anatumia miaka 3 kupata u- laywer wake, au engeneer anatumia miaka 2, acha uzumbukuku ww wa kushabikia mambo, miaka 19 ya nini sasa, wote wanasoma wakifika chuo ndo wanatengana dokta anaenda miaka 5, engeneer nae 5 au 4, muhasibu 3, mwanasheria 5, mwalimu 3 so wote wanaumuhimu ,

usibishane na mimi kushabikia uonekane nawe umepost leta hoja hapa??
 
Hivi unajua watumia muda gani school kabla ya kufuzu!? 19yrsbila kuhesabu ile ya kukaririshwa nay a pre-schoo (chekechea). Hii ni ktkkusisitiza umuhimu wa fani yao! Afu www unakuja na akiri za kimatapishix2 tueti udaktari ni kama fani zingine, ebo!
Wangegoma fani zingine kungekuwa na kelele zote hizi!?

kumbe wewe huna akili za kufikiri vizuri eeeh, kwani, laywer anatumia miaka 3 kupata u- laywer wake, au engeneer anatumia miaka 2, acha uzumbukuku ww wa kushabikia mambo, miaka 19 ya nini sasa, wote wanasoma wakifika chuo ndo wanatengana dokta anaenda miaka 5, engeneer nae 5 au 4, muhasibu 3, mwanasheria 5, mwalimu 3 so wote wanaumuhimu ,

usibishane na mimi kushabikia uonekane nawe umepost leta hoja hapa??
 
kaka kenya ni kenya na hapa ni tanzania?? mbona polisi nao wanakesha usiku kulinda mali za waarifu lakini wameridhika na mishahara yao?? ndo maana nasema tusiongeee kwa kushabikia hapa infact mgoma hauna maana kwa kipindi hichi kwa watu wanoeshimika kama madaktari

leo mimi nikiumwa nife kisa umegoma kwasababu ya blandina nyoni?? wkeni uzalendo mbele bana. pamaja na hayo kumbukeni pamoja na uchumi wetu mbovu nyinyi ndio watu pekee katika sekta ya umma mnao pata mishahara mizuri,

na hata hizo 10000 unayoisema unaipata its okey unaipata lakini kumbuka pia unamshahara wako kila mwisho wa mwezi, hao makonda unaowasema hawana mishahara kaka

Inawezekana wewe ni mganga wa kienyeji. Kutokana na upeo wako mdogo ndo maana unakopi na kutangaza kila unachosikia bila kufanya uchambuzi.

Nani kakwambia madaktari wanalipwa fedha nyingi kuliko wanasiasa au kuliko wakusanya mapato?. Mbunge sio mtumishi wa umma, waziri sio mtumishi wa umma? au huelewi maana ya sekta ya umma?.

Nyie Ma Dr. Komaeni tu wanasiasa wamezidi kudharau taaluma za watu. Serikali inajinyea nyea tu maana inajua ikiongeza kwa madaktari tu moto unawaka kwa kada nyingine.

Nyie komaeni mtakakomboa taaluma yenu na za wengine.
Nasi tunataka laki 2 tukienda kwenye clinical duties, wahadhiri wakienda kutoa Lecture walipwe Lecture allowance ya laki 2 n.k

Transport allowance, house allowance...mshahara mzuri kama wanasiasa. Hii itapunguza wimbi la wanataaluma kwenda kwenye siasa
 
wewe mjinga HEBU NIAMBIE NI FANI GANI HAINA UMUHIMU HAPA TANZANIA?? UALIMU, UGAVI, UDEREVA, UTINGO????

acha kuropoka wewe!!

narudia kusema kila fani inaumuhimu wake kwa wakati wake, hata WAUGUZI NAO wanaumuhimu wao so kila mtu akigoma nani atumsaidia mwenzie???

Sasa nani mropokaji kati yangu na wewe!?
Jibu swali, sijakataa kuwa kila fani inaumuhimu wake lakininachotaka uelewe na iingie kwenye akiri yako ya kimatapishix2 ni kwamba kunafani nyeti kuliko zingine, na udaktari hapa na manes, madawa wamo, ni muhimuzaidi ya zingine kwa kuwa kukosekana huduma zao ni maafa kwa taifa!
ugavi, dereva, akigoma, hata mimi naweza kwenda kafanya kazi yake kwamuda akiwa kny mgomo, sasa hebu nenda na ww ukawasaidie madokta wamegoma. nina leseni nzuri tu, manunuzi na kugawanya vitu tunafanya ktk maisha ya kila siku!
 
Hivi unajua watumia muda gani school kabla ya kufuzu!? 19yrsbila kuhesabu ile ya kukaririshwa nay a pre-schoo (chekechea). Hii ni ktkkusisitiza umuhimu wa fani yao! Afu www unakuja na akiri za kimatapishix2 tueti udaktari ni kama fani zingine, ebo!
Wangegoma fani zingine kungekuwa na kelele zote hizi!?
QUOTE]

kumbe wewe huna akili za kufikiri vizuri eeeh, kwani, laywer anatumia miaka 3 kupata u- laywer wake, au engeneer anatumia miaka 2, acha uzumbukuku ww wa kushabikia mambo, miaka 19 ya nini sasa, wote wanasoma wakifika chuo ndo wanatengana dokta anaenda miaka 5, engeneer nae 5 au 4, muhasibu 3, mwanasheria 5, mwalimu 3 so wote wanaumuhimu ,

usibishane na mimi kushabikia uonekane nawe umepost leta hoja hapa??

hayo ya uzumbu nk mbona yanakuelezea ww vizuri zaidi kuliko mie!
Kumbe hujui hata unachokiandika! layer gani anasomea 5yrs chuo! waambie wagome basi bila kuhujuni mali kama kuna maafa yatakayotokea kama haya!
ww pungu nataka ujue madaktari ni nyeti zaidi!
 
Sasa nani mropokaji kati yangu na wewe!?
Jibu swali, sijakataa kuwa kila fani inaumuhimu wake lakininachotaka uelewe na iingie kwenye akiri yako ya kimatapishix2 ni kwamba kunafani nyeti kuliko zingine, na udaktari hapa na manes, madawa wamo, ni muhimuzaidi ya zingine kwa kuwa kukosekana huduma zao ni maafa kwa taifa!
ugavi, dereva, akigoma, hata mimi naweza kwenda kafanya kazi yake kwamuda akiwa kny mgomo, sasa hebu nenda na ww ukawasaidie madokta wamegoma. nina leseni nzuri tu, manunuzi na kugawanya vitu tunafanya ktk maisha ya kila siku!


hapa nina acha kujibu hoja zako!!! hazina msingi wowote hapa inaonekana uanandika ili mradi umeandika, am talking about professionalism hapa usifikiri ugavi ni ugavu tuu, wakugawa na kuesabu maembe.

weka uzalendo wa taifa mbele and not other thing.....

wewe ni daktari??/ unashabikia nini hasa?//? watu kuteseka mahospitalini?? kisa madaktari wamegoma kwasababu wao ni muhimu sana kuliko watu wengine??? hatuendi hvyo kaka
 
hayo ya uzumbu nk mbona yanakuelezea ww vizuri zaidi kuliko mie!
Kumbe hujui hata unachokiandika! layer gani anasomea 5yrs chuo! waambie wagome basi bila kuhujuni mali kama kuna maafa yatakayotokea kama haya!
ww pungu nataka ujue madaktari ni nyeti zaidi!


tatizo ujafika chuo so hujui sheria huwa wanasomea miaka mingapi (nenda pale UDSM kawaulize wenzio) achana na vyuo uchwara huko!!
 
teh teh tatizo sio lako lets me give you simple logic

hapo zamani mtu ili asomee udaktari alikuwa ni lazima apata div 1 tena iwa chini ya div 1.7 na alikuwa anaenda muhimbili tuu, leo kila kona ya nchi kuna chuo cha udaktari, sio KCMC, BUGANDO, UDOM, HERBERT KAIRUKI, MHIMBILI, na vingine vingi kiasikwamba hata mtu ukiwa na DIV 3 ya pcb unaenda katika vyuo binafsi unasoma udaktari na unapata cheti. tena unakuwa daktari mzuri tuu, so kuwomea udaktari sio issue saaaaana, sema zamani walikuwa wanatait koz chuo kilikuwa kimoja tuuu.

Mkuu, naomba nisaidie kunipa tafsiri ya maneno ya kiingereza yaliyowekewa msisitizo hapo juu.

Pili, kwa maelezo yako, nina wasiwasi hata kama unajua unachosema. Wewe unasema zamani madaktari walikuwa wanasomea wenye chini ya pointi saba (nafikiri ukimaanisha kidato cha sita), HII SI KWELI, madaktari ni waliokuwa wanaingia Muhimbili ni wahitimu wa mchepuo wa PCB, kwa taarifa yako miaka ya 80/90, div 1 ya PCB ilikuwa inajulikana Tanzania nzima. Wachache sana kati ya watahiniwa wa PCB walikuwa wanapata daraja la kwanza. Zuia kuandika kwa hisia.
 
Mkuu, naomba nisaidie kunipa tafsiri ya maneno ya kiingereza yaliyowekewa msisitizo hapo juu.

Pili, kwa maelezo yako, nina wasiwasi hata kama unajua unachosema. Wewe unasema zamani madaktari walikuwa wanasomea wenye chini ya pointi saba (nafikiri ukimaanisha kidato cha sita), HII SI KWELI, madaktari ni waliokuwa wanaingia Muhimbili ni wahitimu wa mchepuo wa PCB, kwa taarifa yako miaka ya 80/90, div 1 ya PCB ilikuwa inajulikana Tanzania nzima. Wachache sana kati ya watahiniwa wa PCB walikuwa wanapata daraja la kwanza. Zuia kuandika kwa hisia.

kwani nani hajui kuwa PCB ndo huwa wanasomea udaktari????

labda kama umecopy na kupest maelezo yangu kichwani mwako lakini nafikiri kama wewe ni muelewa ungenielewa ninachokimaanisha hapa, ni hivi 'wanafunzi wachache waliokuwa wanaufaulu wa juu sana ndo hao waliokuwa wanaenda kusomea udaktari Tena muhimbili tuu! sasa leo hii wale wanafunzi ambao walikuwa wanakosa nafasi pale muhimbili wanaenda vyou binafsi chungu mzima, so ukiwa na hata div 3 ya PCB unaenda kusomea udaktari na unaupata.

so hujanielew nini hapo??
 
kama ww ndo umefika chuo na huu ndo upupu ulioupata chuo, potelea mbali ni bora nisifike huko maana hujakomboka na elimu uloipata, ndo nyie mnasindikiza tu wenzenu na mnabaki na ujinga hata mnapotoka vyuoni, shame on u!
mie hapa nachotaka ujue kupambanua fani kulingana na unyeji wake! najua natwanga maji kwenye kinu maana kama walimu wako mpaka versity walishindwa kukwangua ukoko na gamba la ujinga ulonalo kwa miaka yote, hiyo ni 'tokana' umezaliwa nayo, siiwezi kuitoa kwa muda huu, baki na ulimbukeni na ujinga wako!
 
dont takes your problems as others!!! kama ulifeli wewe si wote alllah, wengine tuliona udaktari haulipi ndo mana tulimbia huko
mbona unajichanganya mkuu?? mara madaktari ndo wanaolipwa mishahara mikubwa kuliko wote, mara uliona udaktari haulipi...... ..... au????
 
mbona unajichanganya mkuu?? mara madaktari ndo wanaolipwa mishahara mikubwa kuliko wote, mara uliona udaktari haulipi...... ..... au????

usipoteze muda nae, is not worth it!
Hawa ndo wana -degrade JF badala ya kuwa home for great thinkers inakuwa home of ******!
 
Okey let me ask u a simple question.

wewe unaona ni vyema kwa madaktari kugoma ????? je wanamkomoa nani?? serikari, brandina nyoni? kikwete au nani???

au umejisikia kuandika tuuu huo ujinga wako hapo juu???

tembelea amana, muhimbili uone hali ilivyo mbaya ndipo utapoona kuwa sio vyema kuchezea maisha watu bana

kwani maisha hadi mtu awe mgonjwa tu ndio atiliwe ,aanani? Wengine wamelazwa kutokana tu na lishe mbovu, wengine mawazo, na kadhalika. Sasa kama ulipata wasaa wa kuvumilia umande enzi hizo ni wazi kuwa kwenye kila tatizo kuna root cause na immediate cause. Immediate cause ya mgomo wa madaktari ni kitendo cha serikali kutolipa posho za hao madaktari. Root cause ni mtiririko mzimma wa serikali kupuuza madai ya madaktari kila wakati. Walishagoma tena na serikali ikaenda kukodi wanajeshi. So unaweza kuona ni suala la muda mrefu. Pia ni heri mtu anayekukimbiza kwa makelele kuliko kimyakimya. Madaktari wangeweza kuendelea kutoa huduma wakinung'unikia moyoni huku tukiona wimbi la vifo vya wagonjwa kwa kuwa tu madaktari wameamua kutoa huduma mbovu. Hawakushindwa kufanya hivyo. They need win win situation. Nadhani jazba zako zimeisha
 
kwani nani hajui kuwa PCB ndo huwa wanasomea udaktari????

labda kama umecopy na kupest maelezo yangu kichwani mwako lakini nafikiri kama wewe ni muelewa ungenielewa ninachokimaanisha hapa, ni hivi 'wanafunzi wachache waliokuwa wanaufaulu wa juu sana ndo hao waliokuwa wanaenda kusomea udaktari Tena muhimbili tuu! sasa leo hii wale wanafunzi ambao walikuwa wanakosa nafasi pale muhimbili wanaenda vyou binafsi chungu mzima, so ukiwa na hata div 3 ya PCB unaenda kusomea udaktari na unaupata.

so hujanielew nini hapo??

Ukiandika kiswahili angalau unaeleweka pamoja na makosa ya kimsamiati ( mfano: akiri na akili ni vitu viwili tofauti) ndiyo point yangu ya kukuuliza tafsiri ya " Lets me"

Nikirudi kwenye hoja yako, si kweli kuwa wanafunzi waliopata daraja la kwanza tu miaka ya nyuma ndiyo walikuwa wanaingia muhimbili kusomea udaktari. Hili hulijui, mimi nawafahamu angalau madaktari watatu ambao walipata div 3 na sasa ni madaktari mmoja wao akiwa daktari bingwa. Siku hizo haikuwa rahisi kwa mwanafunzi wa kidato cha sita PCB kupata div 1 tena ya chini ya pointi saba. Kama una hakika/hujui usiandike.

Kama ulivyoshauriwa na mmoja wa wachangiaji, fahamu madai ya madaktari. Naamini ukiyafahamu na kama hausukumwi na ushabiki mtazamo wako utabadilika.
 
eeh, mmelima kweli sidhani kama atakurupuka tena kule hoja hapa!
mie naunga mkono mgomo wa madaktari ili wasiuwe kinyemela!
 
Ila alichoongea gango2 kina point kwa namna flan, iweje madaktari watake kupewa mil 3.5? Je wana umuhimu kuliko walimu? Maana walimu ndo wanawafundisha hao madaktar na manesi na wahudumu wengne wa afya, basi nao walipwe mil 7.
 
Ili Mbegu iote lazima itupwe kwenye udongo na ioze ndipo itatoa mazao........
Wacha wagome kwa faida ya watakao baki hai hatuwezi kufa wote....
 
Back
Top Bottom