Madai ya Usawa - "Sijatoka Ubavuni Mwako"

Bazazi

JF-Expert Member
Aug 18, 2008
2,806
3,476
Wanamama wameanza kudai haki zao kwa stahili Mpya.

Soma Biramu. I DIDN'T COME FROM YOUR RIB.... YOU COME FROM MY VAGINA. Kwa wenzangu na miye maana yake. SIKUTOKA KATIKA MBAVU ZAKO.... UMETOKA KATIKA K#M@ YANGU.


  • Sijui wanaelekea wapi, na wanataka nini.
  • Kila siku wanalia na kudai haki zao.
  • Haki gani wanazotaka zaidi ya kupendwa na kutendewa kwa haki na usawa.
  • Kama biramu lao ni sawa na kweli, Je siye mimi niliyeingia mwenyewe katika k#m@ na kukaa ndani kwa miezi tisa kisha kutoka (ni mtazamo tu).
  • Tunaelekea wapi? Kwa kweli Bazazi! hajui
Bazazi ni Bazazi!
 

Attachments

  • 547348_10150967990269043_270072752_n.JPG
    547348_10150967990269043_270072752_n.JPG
    63.1 KB · Views: 54
Ngoja wenyewe waje watakung'oa nywele leyo

Umewaambia sio ubavu wako?

Ila hizi haki hazina mashiko kabisa, mie sizipendi ila basi tu

Kongosho! Jamani nini tena unanishamulia? Nimekosea wapi? Kwani Biramu hujaliona ? Usininyanyapae mtoto wa wanamke mwenzio.

Ndimi Bazazi!
 
ile ilikuwa beijing baazazi, hiyo ni wapi nijiandae kwenda! lolest! Young_Master am coming for u!
 
Last edited by a moderator:
Bazazi ma bro lakini sijui hawa wanaongelea era ipi manake wakati wa uumbaji tulktoka ubavuni, na baada ya anguko la dhambi mambo yakawa tofauti kwani tunatoka kwa uume wa baba na kuingia tumboni mwa mama kupitia uke wake mama na kisha tuzaliwapo tunapitia uke wa mama.
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wanadai haki waliojipokonya wenyewe.....................................
 
Hahahaaaaaaaa...........
Basi mkubali kwamba tuliwaruhusu muingie into our ........
Namimi nikachangia kutungwa kwako
nikakuweka tumboni mwangu for 9months huku ukinipa tabu
nikaruhusu utoke tena kwa maumivu
sasa hii ya kutoka kwenu kwenye mbavu zenu inatoka wapi?
 
Back
Top Bottom