Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songoro Mnyonge amewataka wadada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao kuunda vikundi vitakavyowezesha kuomba mikopo wezeshi ili kufanya biashara zitakazowasaidia kujiepusha na biashara hiyo haramu.
View attachment 2534282
ni wazo jema sanaa, kikubwa mikopo iendane na wale waliokubali wenyewe kubadilikaaa
Change starts from within and not from outside
NA WEZI NAO WATAPEWA MIKOPO ILI WAACHE WIZIMstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songoro Mnyonge amewataka wadada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao kuunda vikundi vitakavyowezesha kuomba mikopo wezeshi ili kufanya biashara zitakazowasaidia kujiepusha na biashara hiyo haramu.
View attachment 2534282
Watakuwa more advanced, kutokana na mkopo wanaweza mkakutana hotel, lodge nzuri hata bei itapaa.Wengi wao, ... watabadili location tu
biashara sio mchezo kwani haomalaya wana shida ya mkopo? biashara ni kuuza kichwa kula faida kutunza mtaji kisha kila mwezi marejesho,hali yakuwa malaya kazi yake atumii mtaji aangaishi akili yake sijui faida sijui kutafuta wateja sijui kwenda kununua kutafuta seiti ya kuafanyia kazi kahaba kazi hiyo hawezi tusidanganyaneMstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songoro Mnyonge amewataka wadada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao kuunda vikundi vitakavyowezesha kuomba mikopo wezeshi ili kufanya biashara zitakazowasaidia kujiepusha na biashara hiyo haramu.
View attachment 2534282
Wizi ni roho chafu iliyomvaa mtu inayomsukuma kufanya wizi KWA msaada wa waganga wa kienyeji.NA WEZI NAO WATAPEWA MIKOPO ILI WAACHE WIZI
Wateja wao ndo wanalalamikaWatanzania hatujui tunataka nini.
Hawa wadada wakikamatwa tunakuja hapa kupiga kelele kuwa hao ni zao la kutokuwepo kwa ajira ndomana wanajiuza.
Wanapewa mikopo ili wafanye biashara hii pia hatutaki tunataka wasipewe.
Kama hivyo sawa ,maana kazoea kuuza kitumbua chake ,ata kufanya biashara ya kitumbua cha kupika hajawahi ,atawezea wapi biasharaWatakuwa more advanced, kutokana na mkopo wanaweza mkakutana hotel, lodge nzuri hata bei itapaa.