kim jung shik
Senior Member
- Mar 26, 2014
- 129
- 23
jaman hiv kwa mtu alyehitimu diploma anataka kuendlea bachelor vgezo gan vinaangaliwa kupata mkopo?
HUU NI WIZI KWANINI MDA WA KUOMBA MKOPO UNAFANYIKA KABLA YA MATOKEO? Huu ni wizi kabisaaaa. sijui kwanini selikali inaruhusu hili, kwa sbb wapo ambao watakuwa wameomba na wakafeli alafu licha ya hela ya maombi bado unaweza jinalako likapata mkopo na ukabaki kwao nahisi kitu kama hiki. lazima selikari itazame vizuri hapa wanaumiza watu bure halafu wao ndo wananufaika ,akha!!!