Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,020
- 454,035
Unajitoa ufahamu eeenh
Unajitoa ufahamu eeenh
Hahhahhaha chizi wewe
mfyuuuu umeanza
Aisee! Mwaka na nusu ndoa tupilia mbali!! Ila ni ukweli mchungu! Nakuelewa!!Mkuu nimeshindwa niongeze nini, umesema ukweli mtupu, japo mimi nina mwaka na nusu kwenye ndoa lakini kama napata nafasi ya kurudisha past basi nisingeoa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Inavyoonyesha watoto wamevuka umri wa kuishi na mama wangekuwa wadogo asingewaachaKwa nini asikubali, kama watoto ni wadogo wana haki ya kuishi na mama yao! Sidhani kama dada etu ako na mpango wa kuolewa tena
Mbona hukunifuata
mpendwa wangu bwanaMama muinjili sitaki dhambiiii
Jamani poleni mnoo, umesema kulogwa nimekumbuka hata mim nilisha ambiwa kuwa yaweza kuwa nilimloga mana anashangaa amewezaje kujikuta kaolewa na mimi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ewaaaaa
Nishawahi fungiwa mlango kisa kwenda kuangalia mpira usiku, ndoa ilikuwa na siku 10 tu, nikalala chumba cha jirani mpka asubuhiNi siku nyingine tena imepita, tumerudi salama majumbani mwetu, kuungana tena na wapendwa wetu, familia na watoto pia... Baadhi yetu hatujarejea, tuko mishe na viti virefu... Baadhi tuna sababu za msingi na nyumbani wanafahamu na tumewapa taarifa, wanatusubiri watupokee kwa upendo, kwa furaha kwa bashasha kuu
Baadhi hali ni tofauti, hatungependa kuchelewa nyumbani.... Tungependa tuwahi, tuungane na familia, tuimalize jioni kwa furaha kuu kabla hatujaungana kwa dinner na maombi ya usiku.... Lakini hali ni tofauti tunapoteza muda nje saa zisogee ili tukifika tu ni chakula kuoga na kulala... Tunakimbia kero na malumbano yasiyoisha
Ndoa haina furaha.... Ndoa haina amani, majuto ni mengi mno moyoni.. Kila mmoja anajutia kivyake... Hakuna upendo tena... Hakuna kuaminiana tena... Ni mwendo wa kutuhumiana na kuviziana.... baba ana chumba chake.. Mama naye ana chake... Ama la chumba ni kimoja lakini kila mmoja ana kitanda chake...
Hakuna upendo, hakuna sharing, hakuna majadiliano ya changamoto, ya maumivu ya kushinda na kushindwa, ya kutiana moyo na kufarijiana... Kila mtu kivyake... Kila mtu na lwake...
Karibuni wanandoa wote.. Ni mada ya kupeana faraja na kushare maumivu... Itambueni nguvu ya kuongea... Kuongea hupunguza maumivu mengi... Kupitia mada hii utajiona hauko pekeyako na pengine utaona kuwa kumbe wewe una nafuu kubwa ukisikia ya mwenzako. Jisikie huru ufunguke....
Funguka kwenye ndoa yako iliyoumizwa na kujeruhiwa sana, iliyotiwa vidonda na makovu ya kila aina
Ya usaliti
Ya kuchapiwa
Ya kusingiziwa
Ya kunenewa mabaya
Ya kudharauliwa kutukanwa na kudhalilishwa
Funguka upate nafuu
Funguka upate faraja
Funguka upunguze sumu mwilini
Funguka upate kupona sasa....
Karibuni wanandoa wote
Jr
Hapana ikifikia mwisho inawezekana tu
Hahhaha yapi hayo mume wa mtu
mimi moyo wangu wakishenzi sana siwezagi kwa mnayoyasema nadhani yatanishinda tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhahahh ili azime akinywa hiyo haamki
Nishawahi fungiwa mlango kisa kwenda kuangalia mpira usiku, ndoa ilikuwa na siku 10 tu, nikalala chumba cha jirani mpka asubuhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa yaanNakupenda pia babe ebu rudisha moyo nyuma wote tupo kwenye ndoa anayekushauri uondoke na kuwaacha watoto wako hayupo kwenye ndoa au ameachika