kat.ph
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,222
- 1,675
Kwanza inabidi siku hiyo uwe na nguvu za kiume za kutosha, Pili unatakiwa uvizie masaa kadhaa kabla hajaanza siku zake kwakuwa siku hiyo yai lake huwa lipo karibu kabisa
Yani kaka yangu UMEPOTEAAAAAAAA...inaelekea hata form4 hujafika kwasababu biology ya form 4 imeelekeza mzunguko. Duh