Machozi ya wafanyabiashara wadogo wadogo atayaondoa nani?

Aug 30, 2022
5
4
Wajasiriamali wanaumia wanaangaika wananyanyaswa nani awasemee vilio vyao ni juu ya Serikali, wamekuwa wakilia kwani wakuu wa idara hawalioni hili

Viongozi wa machinga wao hawalioni hili au wamelidhika kuona wajasiriamali wadogo wadogo na wamachinga wakiumia kila siku ni vilio vya wafanyabiashala kwani havisikiki au hakuna uongozi wa kuongea juu yao

Tizama machinga mjini wananyanganywa biashara zao, wamekuwa watu wa kukimbia kimbia. Haitoshi mpaka na huku mtaani watendaji na wenyeviti nao wanahusika kunyang'anya biashara zao

Tizama MWANZA MABATINI mjasiriamali ilivyonyanganywa biashara yake na kupelekwa ofisini ikawekwa chini nje ya ofisi na kisha ikapelekwa jiji. Maisha gani haya jamani kwanini haya yatendeke? Viongozi njooni mkague soko la MWANZA MABATINI, viongozi njooni mzungumze na wajasiriamali na machinga wa kata ya MABATINI mjue changamoto wanazopitia, pia tuondoe uvyama katika shughuli za kijamii maana zinawaumiza wananchi, tuondoe usiasa kwenye shughuli za kijamii.

View attachment 2340583
 
Lengo la ccm ni kuwafanya muwe masikini wa kila kitu na ndo mtawaliwe vizuri na ajabu nyie mnao ona Leo mnaonewa ndo wavaa t-shirt na kofia za Chama chakavu
 
Tuondoe uvyama na usiasa kwenye shughuli za kijamii sasa tuzungumze namna ya kuwasaidia wajasiliamali wadogo wadogo na wamachinga wana umia wana teswa wana nyanganywa mitaji kumbuka maisha ni magumu nani awasemee
IMG_20220830_190159_990.jpg
 
Wamachinga hamuwez kupata solusheni ya kudumu mpaka mipango miji ibadilike. Open space ziwe za watu wote
 
Kwako mkuu wa wilaya ya NYAMAGANA, mama haya yanayotendeka hayakufikii ama viongozi wanaamua kuyafunika ili yasifike juu.

MWANZA MABATINI mfanyabiasha alinyanganywa mzigo siku ya 31 August na kupelekwa ofisini ikawekwa chini nje ya ofisi na kisha ikapelekwa jiji. Maisha gani haya jamani kwanini haya yatendeke? Viongozi njooni mkague soko la MABATINI mtendaji na mwenyekiti ndiyo walifanya hivyo
IMG_20220830_190159_990.jpg
 
Wajasiliamali wanaumia wanaangaika wananyanyaswa nani awasemee vilio vyao ni juu ya serikali wamekua wakilia kwani wakuu wa idala awalioni hili viongozi wa machinga wao awalioni hili au wamelizika kuona wajasiliamali wadogo wadogo na wamachinga. Wakiumia kila siku nivilio vya wafanya biashala kwani havisikiki au akuna uwongozi wa kuongea juu yao tizama machinga mjini wana nyanganywa biashala zao wamekua watu wa kukimbia kimbia aitoshi mpaka na huku mtaani watendaji na wenyeviti nao wana husika kunyanganya biashala zao tizama MWANZA MABATINI mjasilia mali ilivyo nyanganywa biashala yake na kupelekwa ofisini ikawekwa chini nnje ya ofisi na kisha ikapelekwa jiji maisha gani haya jamani kwanini haya yatendeke viongozi njooni mkague soko la MWANZA MABATINI viongozi njooni mzungumze na wajasiliamali na machinga wa kata ya MABATINI mjue changamoto wanazo pitia pia tuondoe uvyama katika shughuli za kijamii maana zina waumiza wana nnchi tuondoe usiasa kwenye shughuli za kijamii
View attachment 2340583

Ni Mwenye Enzi Mungu mwenyewe atatutetea walahi!
 
Kwako mkuu wa wilaya ya NYAMAGANA, mama haya yanayotendeka hayakufikii ama viongozi wanaamua kuyafunika ili yasifike juu.

MWANZA MABATINI mfanyabiasha alinyanganywa mzigo siku ya 31 August na kupelekwa ofisini ikawekwa chini nje ya ofisi na kisha ikapelekwa jiji. Maisha gani haya jamani kwanini haya yatendeke? Viongozi njooni mkague soko la MABATINI mtendaji na mwenyekiti ndiyo walifanya hivyo View attachment 2340598
Ujaelezea vizuri mkuu
 
Kuna mambo siyo hata ya kuilalamikia serikali, Hii ni nchi ina sheria na Taratibu zake , unapokikuka sheria na Taratibu hautakiwi kuonewa huruma bali uwajibishwe na uwajibike .

Uti uzima/Ustaarabu ni kuwajibika .
 
Back
Top Bottom