Machangudoa wengi wanakaa wapi?

Status
Not open for further replies.

Simba Mkali

JF-Expert Member
Jan 31, 2012
620
239
Jamani nimekuwa nikukutana na machangudoa wengi sana maeneo ya mjini, kuna watu wanasema kuwa wengi wao wanaishi katika mageto huko Kinondoni na Buguruni, kuna wengine wanasema kuwa machangu wengi wako wengi Magomeni lakini kuna madai kuwa machangu wanaishi Mabibo, jamani hebu tusaidiane machangu hususan katika jiji la Dar Es Salaam wanaishi kwa wingi katika kitongoji gani? (Tafadhali sina mpango wa kuhamia huko teh teh teh).
 
Muhimu huwa ni kujua ofisi zao zilipo. Kuna mtu kalalama hapa kagundua jirani yake ni changu. Inshort, hata masaki wanaishi kutegemeana na class zao.

Mkuu kwa Tanzania ni illigal business hivyo hawawezu kuwa na ofisi rasmi!!! Ila kuna maeneo wanaishi kwa wingi japo hata wengine tunaishi nao majumbani mwetu maana unaweza kukuta hata ndugu yako ni CHANGU japo ana elimu kubwa!!! Si kuwa wote wenye kipato kikubwa ni changu!!! Wengine tunapishana nao maofisini mwetu mchana na usiku kazini!! Hakuna kulala!! Kuna mmoja alikuwa maskani yake kibiashara was the former Kilimanjaro hotel miaka hiyo but was an employee na msomi!! Alishatangulia mbele ya haki maana ARVs zilikuwa badi kipindi hicho, ni kufa kwa mateso tu.
 
Mkuu kwa Tanzania ni illigal business hivyo hawawezu kuwa na ofisi rasmi!!! Ila kuna maeneo wanaishi kwa wingi japo hata wengine tunaishi nao majumbani mwetu maana unaweza kukuta hata ndugu yako ni CHANGU japo ana elimu kubwa!!! Si kuwa wote wenye kipato kikubwa ni changu!!! Wengine tunapishana nao maofisini mwetu mchana na usiku kazini!! Hakuna kulala!! Kuna mmoja alikuwa maskani yake kibiashara was the former Kilimanjaro hotel miaka hiyo but was an employee na msomi!! Alishatangulia mbele ya haki maana ARVs zilikuwa badi kipindi hicho, ni kufa kwa mateso tu.

ninaposema ofisi namaanisha pale ambapo anapatikana mara nyingi kwa biashara. So hata nikimpigia hair dresser wangu huwa namuuliza ' uko ofisini'. Ni lugha ya kuheshimu kazi ya mtu. So ohio, jolly, Corner bar, kndoni makaburini hizo ni ofisi pia.
 
ninaposema ofisi namaanisha pale ambapo anapatikana mara nyingi kwa biashara. So hata nikimpigia hair dresser wangu huwa namuuliza ' uko ofisini'. Ni lugha ya kuheshimu kazi ya mtu. So ohio, jolly, Corner bar, kndoni makaburini hizo ni ofisi pia.
Mkuu hapa umenitoa nduki kabisa. Nimecheka mno. Kuna bar moja maneo ya Sinza mori nasikia napo niofisi yao kuu (mweny jina aseme). Hivi wale waliokuwa club ya Macheni Magomeni walihamia wapi? Maana napo palikuwa ofisi kuu ya changudoa na mashoga halafu wote wanashindana kugombania mteja? Hivi macheni yupo tena nchi hii au alishatangulia? Kuna kipindi afya yake ilikuwa ina mgogoro!!!!
 
macheni yupo hai japo kazeeka wale wachangu na mashoga wametawanyikia bar za kariaoo magomeni tandale manzese buguruni na kinondoni
 
Yuko Macheni kazeeka lakini bling bling kama kazi,walikua na mgahawa pale kinondoni yeye na mkewe...
 
Jamani nimekuwa nikukutana na machangudoa wengi sana maeneo ya mjini, kuna watu wanasema kuwa wengi wao wanaishi katika mageto huko Kinondoni na Buguruni, kuna wengine wanasema kuwa machangu wengi wako wengi Magomeni lakini kuna madai kuwa machangu wanaishi Mabibo, jamani hebu tusaidiane machangu hususan katika jiji la Dar Es Salaam wanaishi kwa wingi katika kitongoji gani? (Tafadhali sina mpango wa kuhamia huko teh teh teh).

samahan,unataka kujua maeneo wanayoish au wanayofanyia shughuli zao?????
 
Jamani nimekuwa nikukutana na machangudoa wengi sana maeneo ya mjini, kuna watu wanasema kuwa wengi wao wanaishi katika mageto huko Kinondoni na Buguruni, kuna wengine wanasema kuwa machangu wengi wako wengi Magomeni lakini kuna madai kuwa machangu wanaishi Mabibo, jamani hebu tusaidiane machangu hususan katika jiji la Dar Es Salaam wanaishi kwa wingi katika kitongoji gani? (Tafadhali sina mpango wa kuhamia huko teh teh teh).

samahan,unataka kujua maeneo wanayoish au wanayofanyia shughuli zao?????na hao ulokutana nao ulijuaje kuwa ni machangu???
 
Muhimu huwa ni kujua ofisi zao zilipo. Kuna mtu kalalama hapa kagundua jirani yake ni changu. Inshort, hata masaki wanaishi kutegemeana na class zao.

Nilitaka nitoe jibu kama hili naona umewahi....ni kweli kabisa... kwa kujibu swali la mtoa mada..... mitaa ya uswahilini inaongoza kwa kuwa na watu hawa....
 
Maeneo ya Sokota pale ni wengi sana na wanaishi kwenye Magheto ambayo pia hutumia ku host clients wao, pale Jolly napo naona kama wamepungua sana kulinganisha na miaka ya nyuma, i think wenda wengi wameokoka lol, ila kuna jamaa mmoja juzi nilipokuwa maeneo hayo nikamwuliza akasema ...vyuo vimefungwa kwa sasa!

wengi siku hizi wanafanyia kazi zao Bar, hii ni kwa udadisi wangu ila si mdau
 
Jamani nimekuwa nikukutana na machangudoa wengi sana maeneo ya mjini, kuna watu wanasema kuwa wengi wao wanaishi katika mageto huko Kinondoni na Buguruni, kuna wengine wanasema kuwa machangu wengi wako wengi Magomeni lakini kuna madai kuwa machangu wanaishi Mabibo, jamani hebu tusaidiane machangu hususan katika jiji la Dar Es Salaam wanaishi kwa wingi katika kitongoji gani? (Tafadhali sina mpango wa kuhamia huko teh teh teh).

kiukweli machangu wanatofautiana wapo wanaoishi gesti na wapo ambao wanakaaa kwenye mageto yao....kwa utafiti na kazi yangu ......ya uchunguzi machangu wengi dar wanaishi hivi......ifuatavyo

1.mademu wengi wanaojiuza bar ya kimboka.....wanaishi guest flani...inaitwa kwa kayumba ipo vingunguti kidarajani...ukishuka tuu na gali utaonyeshwa

2.mademu wengi wanaojiuza bar ya lambo manzese .....wanatoka uwanja wa fisi

3.mademu wengi wanaojiuza corner bar sinza na meeda bar sinza.....wanaishi sinza kwa mugabe ukiulizia tuu...fanaleki bar and guest house,chagga bar guest house.....zote zipo mugabe sinza ukishuka tuu kwenye gali ...ukiulizia utapelekwa

4.mademu wengi wanaojiuza jolly club .....wanaishi sinza elizabeth inn guest and bar house...ukishuka na gali sinza kumekucha utapelekwa tuu...sio mbali na kituoni

5.mademu wengi wanaojiuza sewa bar buguruni wanatoka kinondoni kwa manyanya ukiulizia laki si pesa lodge...ukienda utawakuta....tuuu

6.wapo mademu na mijijimama ambayo wenyewe hujiuza kwenye mageto yao.....na hawa wanapatikani mwananyamala hospitali ukishuka tuu kwenye daladala ulizia utafika,engine wapo temeke kwa sokota,wengine wapo tandika.....hawa bei zao ni buku 2 tuu

7.mademu wengi wanaojiuza hoteli ya loyol palm na kempiksi.......kule posta hawa wanaishi kwenye nyumba zao na huwa wakija kujiuza hufika pale na magali yao ya kifahali.....na hawa huwa malipo yapo in terms of dollar

8.mademu wengi wanaojiuza maisha club na billcanas hawa wengi wao....ni wanafunzi wa sekondari na vyuo vikuu ukitaka kuwapata ni vigumu sana

9.mademu wengi wanaojiuza bar one masaki,didis club ya osterbay,sea cliff hotel pale masaki na slipway kule masaki hawa wengi wao huishi makwao na wengi wao.....viwanja hivi wakienda huwa wanataka tuu wazungu...wakiamini.....na madhumuni ya kupelekwa ulaya...........

ni hayo tuuu hii ndio dar es salaaam..................:A S angel::yo::high5::rockon:
 
Jamani nimekuwa nikukutana na machangudoa wengi sana maeneo ya mjini, kuna watu wanasema kuwa wengi wao wanaishi katika mageto huko Kinondoni na Buguruni, kuna wengine wanasema kuwa machangu wengi wako wengi Magomeni lakini kuna madai kuwa machangu wanaishi Mabibo, jamani hebu tusaidiane machangu hususan katika jiji la Dar Es Salaam wanaishi kwa wingi katika kitongoji gani? (Tafadhali sina mpango wa kuhamia huko teh teh teh).

Kwani we hukai na wenzio?
 
Kwa maeneo ya kimakazi,hapa kinondoni maeneo ambayo machangudoa wengi wanaish maeneo ya KINONDONI MOSKO,WENGINE WANAISH MAENEO YA MWANANYAMALA,HAPA KUNA
-MWANANYAMALA KOMAKOMA,MWANANYAMALA MCHANGANI,MWANANYAMALA KISIWANI,MWANANYAMALA HOSPITALI,MWANANYAMALA UJIJI,MWANANYAMALA KWA KOPA,MWANANYAMALA KWA MAMA ZAKARIA,MWANANYAMALA A NA B,MWANANYAMALA KWA MANJUNJU.
-PIA KINONDONI SHAMBA,MSISIRI,NA B
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom