Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
Waende B Bar sinza wakati wanaume wanapiga mdudu na kasto laiti wakawachape waone ugomvi wake!!
Kwani hawajipendi??
Waende B Bar sinza wakati wanaume wanapiga mdudu na kasto laiti wakawachape waone ugomvi wake!!
Unyanyasaji wa kijinsia huu,wanatake advantage ya udhaifu wao wa kimaumbile,mbona vibaka,wavuta bangi wanaendelea kama kawaida au mwezi mtukufu dhambi ni moja tu.
Ningependa nione wakiwaendea mateja na hizo bakora zao,halafu tuone kati yao na mateja nani uamsho.
Waende B Bar sinza wakati wanaume wanapiga mdudu na kasto laiti wakawachape waone ugomvi wake!!
Wawapeleke POLISI ipi tena?!
Hawa nao ni Polisi wa Mahakama ya KADHI wanatimiza majukumu yao kisharia...:spy: