Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Nimesikitika sana leo jamani embu tuwe na utu hata kama una kangast mwekesawa asiharibu kwa mamaa
Gari zaidi ya tatu zilikuwa pale city hotel nje stj/stk xxx/yyy
Nje madereva wamesimama kama wanaota jua masikini mmoja namjua nkamuuliza vipi kaka kwema karibu
tuonje oohhh ahsante mpwa kibosile yuko ndani humo anakula na mzigo yake na jamaa zake
Jamani nani kawaambia mkila madereva mnaawaacha wangamue kwenye magari kwani hawana matumbo kama nyie embu badilikeni bana mi bosi wa jf lakini kila nikienda sehemu dereva wangu anakula shav ila asile ninachokula hiyo haifai kama wali nyama ale ugali nyama, usihofu nimasharti ili tuendelee kuongoza jf
kwi kwiii ila inaumaa sana unamkuta mjomba wako yuko nje ya gari jua linapiga kangamua mbaya una uwezo wakumnunulia akale masikini anaogopa bosi yuko ndani anakula aisee
Shidaaa
Gari zaidi ya tatu zilikuwa pale city hotel nje stj/stk xxx/yyy
Nje madereva wamesimama kama wanaota jua masikini mmoja namjua nkamuuliza vipi kaka kwema karibu
tuonje oohhh ahsante mpwa kibosile yuko ndani humo anakula na mzigo yake na jamaa zake
Jamani nani kawaambia mkila madereva mnaawaacha wangamue kwenye magari kwani hawana matumbo kama nyie embu badilikeni bana mi bosi wa jf lakini kila nikienda sehemu dereva wangu anakula shav ila asile ninachokula hiyo haifai kama wali nyama ale ugali nyama, usihofu nimasharti ili tuendelee kuongoza jf
kwi kwiii ila inaumaa sana unamkuta mjomba wako yuko nje ya gari jua linapiga kangamua mbaya una uwezo wakumnunulia akale masikini anaogopa bosi yuko ndani anakula aisee
Shidaaa