Mabomu ya mbagala!!!!!!!!!!!!!!!

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125
KATUNI(694).jpg
 
Inaonyesha hawa walioharibiwa nyumba zao kwa mabomu ya mbagala mpaka leo hawajalipwa na Serikali? mpaka waandamane Ikulu?
 
Waathirika wa Mabomu Mbagala waandaa maandamano
Thursday, May 10, 2012 9:34 AM
WAKAZI WA MBAGALA jijini Dar es Salaam walioathirika na mlipuko wa mabomu mwaka juzi, wameandaa maandamano ya amani kumuona Rais kwa lengo la kushinikiza kulipwa malipo yao ya uharibifu wa nyumba zao.
Wakazi hao juzi walitinga Ofisi za mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kufikisha lengo lao hilo wakiongozwa na Mwenyekiti wao Steven Gimonge.

Gimonge alisema wamejipanga vilivyo kuandamana kumuona Rais Kikwete ili kuijua hatma yao na kutambua kama hawajapata stahiki zao.

Gimonge alisema wameamua kufanya hivyo kutokana na kushindikana na kudharauliwa kwa maombi yao na juhudi za kumuona Waziri Mkuu tangu Februari 2010 kugonga mwamba

Zaidi wakazi 2000 wanadai fidia kutokana na kuharibiwa kwa nyumba zao zilizoharibiwa kwa mabomu yaliyotokea April 2009 huko Mbgala na kusababisha vifo kadhaa.
Waathirika wa Mabomu Mbagala waandaa maandamano

<tbody>
</tbody>
 
Hazina hakuna hela, zimeliwa na magamba, they will waste there time. Wasubiri hao mawaziri waliotemwa warudishe.
 
na le wanaanza safari ya kupoteza billions zingine kwa kukimbiza mwenge nchi nzima, baada ya kupoteza zingine kama hzo majuzi tu kwa kuazimisha muunganio usio na tija yoyote.. kazi tunayo.
 
Back
Top Bottom