Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Sijui ni huu uzee?
Hivi inakuwaje siku hizi (the last 15 years or so) unakuta binti wa miaka 15 -22 tayari maziwa yameshadondoka a.k.a saa 12?
Ni "climate change" pia au kuna "genetic disorder" katika kizazi hiki - in last two decades?
Nimefikiri sana lakini sipai jibu!
Hivi inakuwaje siku hizi (the last 15 years or so) unakuta binti wa miaka 15 -22 tayari maziwa yameshadondoka a.k.a saa 12?
Ni "climate change" pia au kuna "genetic disorder" katika kizazi hiki - in last two decades?
Nimefikiri sana lakini sipai jibu!