mokala1989
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 2,236
- 728
hela inazika mtu ndiyo maana kukitokea msiba lazima daftari la mchango lipitishwe, unadhani sanda na jeneza utanunulia kwa mapenzi tu bila hela?.
hata trilionea akifa ni lazima bakuli la sadaka litembezwe msibani