"Mabeberu wanamezea rasilimali za Tanzania." - Rais JPM

HORSE POWER

JF-Expert Member
Feb 22, 2015
2,102
1,415
Kama kuna kauli iliyonifurahisha na kujisikia fahari kama Mtanzania kutoka kwa Mkuu wa Nchi,basi ni kauli hiyo hapo juu ya Rais John Magufuli.Hiyo ni kauli ya kiuongozi.Amekana unafiki kwa kujikweza na kujipendekeza kwa 'wajomba' kwa kuhofia kuusema ukweli.Alichozungumza ndio ukweli na utabaki kuwa ukweli.Mabeberu hawawapendi Watanzania,bali wanaipenda Tanzania kwa rasilimali zake.Ametuma ujumbe mahsusi kwamba ana msimamo wa namna gani.
Ujumbe wake ufike kule Brettonwoods,yalipo makao makuu ya taasisi tatu mumiani duniani za WB,IMF na WTO.Sera za taasisi hizi ndizo zinazoumiza uchumi wa Afrika.
Ujumbe wake ufike kwa mawakala wote wa mabeberu hapa nchini;wanaoshabikia,kupigia debe na kunufaika na 'sera fukarishi' za mumiani hawa Magharibi.
Tumuunge mkono Rais wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mlinde Rais wetu.
 
Angeanza kwanza na kuvunja mikataba mibovu ya mabepari waliyosaini watendaji wa watangulizi wake (baadhi kawachukua pia) kama Madini....IPTL et al...au angemshughulikia hata Lugumi tu...hyo ingekuwa ni ujumbe tosha kwa mabepari...ila maneno ya kwenye majukwaa ya kisiasa hata watangulizi wake waliyasema tena kwa umahiri mkubwa kuliko yeye lakini bado tuliendelea kuliwa...tunaendelea kuliwa Na hilo analijua Na kuliona Na tutaendelea kuliwa...
 
Kama kuna kauli iliyonifurahisha na kujisikia fahari kama Mtanzania kutoka kwa Mkuu wa Nchi,basi ni kauli hiyo hapo juu ya Rais John Magufuli.Hiyo ni kauli ya kiuongozi.Amekana unafiki kwa kujikweza na kujipendekeza kwa 'wajomba' kwa kuhofia kuusema ukweli.Alichozungumza ndio ukweli na utabaki kuwa ukweli.Mabeberu hawawapendi Watanzania,bali wanaipenda Tanzania kwa rasilimali zake.Ametuma ujumbe mahsusi kwamba ana msimamo wa namna gani.
Ujumbe wake ufike kule Brettonwoods,yalipo makao makuu ya taasisi tatu mumiani duniani za WB,IMF na WTO.Sera za taasisi hizi ndizo zinazoumiza uchumi wa Afrika.
Ujumbe wake ufike kwa mawakala wote wa mabeberu hapa nchini;wanaoshabikia,kupigia debe na kunufaika na 'sera fukarishi' za mumiani hawa Magharibi.
Tumuunge mkono Rais wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mlinde Rais wetu.
Hapo pa red, wakimkomalia hawezi kutoboa. Nyerere alisema wakubwa hawa wanaamua hata bei ya korosho za Mzaramo! Hawa wananguvu sana! Wanaweza kushi bila kahawa, lakini wewe huwezi kuishi bila dawa, gari etc. Kukitokea mgomo wa madreva inakuwaje? Tunategemeana, lakini kuna anayemtegemea mwenzake zaidi kwa sababu amekutangulia.
 
Aliyajaribu Nyerere kwenye miaka ya 80, akatuomba tufunge mikanda kwa miezi 18, kwanza kila kitu kiliadimika isipokuwa majani ya chai, yeye alilazimika kung'atuka kitu ambacho alikuwa bado na vimelea vya laana hiyo hadi leo bado vinatuandama.
 
Mwambieni hata kukaa kimya ni busara sio kila jambo kuongea na asitufanye mazuzu.
 
Enzi za Nyerere dunia ilikuwa finyu sana kwa kila kitu ila sasa mambo yako poa tunaweza kujilisha sisi wenyewe unajua inabidi ifike mahali tuache uoga wa kimaisha ndugu zangun.
 
Lugha hii kila rais uisema kuanzia kwa Julius (RIP) hadi kwa huyu.
Tunataka hatua kwa hao wanaomezea mate rasilimali zetu na hatua tunayotaka kwao ni kuona wanalipa kodi sahihi ya kutuneemesha. Full stop.


Britain’s New African Empire

26/07/2016

Mark Curtis

Companies listed on the London Stock Exchange control over $1 trillion worth of Africa’s resources in just five commodities - oil, gold, diamonds, coal and platinum. My research for the NGO, War on Want, which has just been published, reveals that 101 companies, most of them British, control $305 billion worth of platinum, $276 billion worth of oil and $216 billion worth of coal at current market prices. The ‘Scramble for Africa’ is proceeding apace, with the result that African governments have largely handed over their treasure.

Tanzania’s gold, Zambia’s copper, South Africa’s platinum and coal and Botswana’s diamonds are all dominated by London-listed companies. They have mines or mineral licences in 37 African countries and control vast swathes of Africa’s land: their concessions cover a staggering 1.03 million square kilometres on the continent. This is over four times the size of the UK and nearly one twentieth of sub-Saharan Africa’s total land area. China’s resources grabs have been widely vilified but the major foreign takeover of Africa’s natural riches springs from a lot closer to home.

Many African governments depend on mineral resources for revenues, yet the extent of foreign ownership means that most wealth is being extracted along with the minerals. In only a minority of mining operations do African governments have a shareholding. Company tax payments are minimal due to low tax rates while governments often provide companies with generous incentives such as corporation tax holidays.

Companies are also able to avoid paying taxes by their use of tax havens. Of the 101 London-listed companies, 25 are actually incorporated in tax havens, principally the British Virgin Islands. It is estimated that Africa loses around $35 billion a year in illicit financial flows out of the continent and a further $46billion a year in multinational company profits taken from operations in Africa.

UK companies’ increasingly dominant role in Africa, which is akin to a new colonialism, is being facilitated by British governments, Conservative and Labour alike. Four policies stand out. First, Whitehall has long been a fierce advocate of liberalized trade and investment regimes in Africa that provide access to markets for foreign companies. It is largely opposed to African countries putting up regulatory or protectionist barriers to such investment, the sorts of policies where have often been used by successful developers in East Asia. Second, Britain has been a world leader in advocating low corporate taxes in Africa, including in the extractives sector.

Third, British policy has done nothing to challenge multinational companies using tax havens; indeed the global infrastructure of tax havens is largely a British creation. Fourth, British governments have constantly espoused only voluntary mechanisms for companies to monitor their human rights impacts; they are opposed to enhancing international legally binding mechanisms to curb abuses.

The result is that Africa, the world’s poorest continent, is being further impoverished. Recent research calculated, for the first time, all the financial inflows and outflows to and from sub-Saharan Africa to gauge whether Africa is being helped or exploited by the rest of the world. It found that $134 billion flows into the continent each year, mainly in the form of loans, foreign investment and aid. However, $192 billion is taken out, mainly in profits made by foreign companies and tax dodging. The result is that Africa suffers a net loss of $58 billion a year. British mining companies and their government backers are contributing to this drainage of wealth.

We need to radically rethink the notion that Britain is helping Africa to develop. The UK’s large aid programme is, among other things, being used to promote African policies from which British corporations will further profit. British policy in Africa, and indeed that of African elites, needs to be challenged and substantially changed if we are serious about promoting long term economic development on the continent.

Follow Mark Curtis on Twitter:www.twitter.com/markcurtis30
 
Mwambieni hata kukaa kimya ni
Waambie hao kwanza kamwe hawataweka, mikono kwenye rasmimali zetu hata kwa kashfa dhidi ya Rais na Serikali yake, kususia bunge, kuziba midomo, operesheni uchwara, mikutano, na maandamano.

Wasipobadili gia ardhini, 2020 wataisoma namba.
 
Angeanza kwanza na kuvunja mikataba mibovu ya mabepari waliyosaini watendaji wa watangulizi wake (baadhi kawachukua pia) kama Madini....IPTL et al...au angemshughulikia hata Lugumi tu...hyo ingekuwa ni ujumbe tosha kwa mabepari...ila maneno ya kwenye majukwaa ya kisiasa hata watangulizi wake waliyasema tena kwa umahiri mkubwa kuliko yeye lakini bado tuliendelea kuliwa...tunaendelea kuliwa Na hilo analijua Na kuliona Na tutaendelea kuliwa...

Britain’s New African Empire

26/07/2016

Mark Curtis

Companies listed on the London Stock Exchange control over $1 trillion worth of Africa’s resources in just five commodities - oil, gold, diamonds, coal and platinum. My research for the NGO, War on Want, which has just been published, reveals that 101 companies, most of them British, control $305 billion worth of platinum, $276 billion worth of oil and $216 billion worth of coal at current market prices. The ‘Scramble for Africa’ is proceeding apace, with the result that African governments have largely handed over their treasure.

Tanzania’s gold, Zambia’s copper, South Africa’s platinum and coal and Botswana’s diamonds are all dominated by London-listed companies. They have mines or mineral licences in 37 African countries and control vast swathes of Africa’s land: their concessions cover a staggering 1.03 million square kilometres on the continent. This is over four times the size of the UK and nearly one twentieth of sub-Saharan Africa’s total land area. China’s resources grabs have been widely vilified but the major foreign takeover of Africa’s natural riches springs from a lot closer to home.

Many African governments depend on mineral resources for revenues, yet the extent of foreign ownership means that most wealth is being extracted along with the minerals. In only a minority of mining operations do African governments have a shareholding. Company tax payments are minimal due to low tax rates while governments often provide companies with generous incentives such as corporation tax holidays.

Companies are also able to avoid paying taxes by their use of tax havens. Of the 101 London-listed companies, 25 are actually incorporated in tax havens, principally the British Virgin Islands. It is estimated that Africa loses around $35 billion a year in illicit financial flows out of the continent and a further $46billion a year in multinational company profits taken from operations in Africa.

UK companies’ increasingly dominant role in Africa, which is akin to a new colonialism, is being facilitated by British governments, Conservative and Labour alike. Four policies stand out. First, Whitehall has long been a fierce advocate of liberalized trade and investment regimes in Africa that provide access to markets for foreign companies. It is largely opposed to African countries putting up regulatory or protectionist barriers to such investment, the sorts of policies where have often been used by successful developers in East Asia. Second, Britain has been a world leader in advocating low corporate taxes in Africa, including in the extractives sector.

Third, British policy has done nothing to challenge multinational companies using tax havens; indeed the global infrastructure of tax havens is largely a British creation. Fourth, British governments have constantly espoused only voluntary mechanisms for companies to monitor their human rights impacts; they are opposed to enhancing international legally binding mechanisms to curb abuses.

The result is that Africa, the world’s poorest continent, is being further impoverished. Recent research calculated, for the first time, all the financial inflows and outflows to and from sub-Saharan Africa to gauge whether Africa is being helped or exploited by the rest of the world. It found that $134 billion flows into the continent each year, mainly in the form of loans, foreign investment and aid. However, $192 billion is taken out, mainly in profits made by foreign companies and tax dodging. The result is that Africa suffers a net loss of $58 billion a year. British mining companies and their government backers are contributing to this drainage of wealth.

We need to radically rethink the notion that Britain is helping Africa to develop. The UK’s large aid programme is, among other things, being used to promote African policies from which British corporations will further profit. British policy in Africa, and indeed that of African elites, needs to be challenged and substantially changed if we are serious about promoting long term economic development on the continent.

Follow Mark Curtis on Twitter:www.twitter.com/markcurtis30
 
Wenye mapesa mengi wamekuwa wanyonyaji tena sababu kuna ng'ombe humu wanafikiri wachina ni ndugu zao.
 
Ni kauli ya kinafiki kwa sababu pamoja na kujaliwa rasilimali chungu nzima mbali mbali lakini hadi hii leo Watanzania hatujaona lolote la maana kutokana na mikataba mbali mbali iliyosainiwa na nchi au makampuni mbali mbali toka nje.

Mikataba hiyo haina maslahi kwa Tanzania na Watanzania na haikusainiwa na mabeberu bali Watanzania wenzetu ambao walijiona wao wana haki ya kusaini mikataba isiyo na maslahi na kuifanya ni siri kubwa.

Wakati mikataba hiyo yote inasainiwa huyu alikuwemo ndani ya Serikali na hakuguna na alishiriki kwa 100%. Umewahi kumsikia huyu hata siku moja akipinga mkataba wowote wa rasilimali za Tanzania?

Aliyenunua boti liliooza la bilioni 8 ambalo sasa liko juu ya mawe alikuwa beberu wa kutoka nchi za nje? waliokwapua nyumba za Serikali walikuwa mabeberu toka nchi za nje? walioshiriki katika ufisadi wa EPA, Escrow, Kagoda, Meremeta, IPTL, Lugumi, UDA, Pride, Kiwira Coal Mining etc walikuwa mabeberu toka nchi za nje!?

Acheni kukurupuka na kuunga mkono kauli za kinafiki. kama ana nia njema na rasilimali za nchi aiweke mikataba yote ya rasilimali za nchi hadharani.
kp06112014-jpg.372981




Kama kuna kauli iliyonifurahisha na kujisikia fahari kama Mtanzania kutoka kwa Mkuu wa Nchi,basi ni kauli hiyo hapo juu ya Rais John Magufuli.Hiyo ni kauli ya kiuongozi.Amekana unafiki kwa kujikweza na kujipendekeza kwa 'wajomba' kwa kuhofia kuusema ukweli.Alichozungumza ndio ukweli na utabaki kuwa ukweli.Mabeberu hawawapendi Watanzania,bali wanaipenda Tanzania kwa rasilimali zake.Ametuma ujumbe mahsusi kwamba ana msimamo wa namna gani.
Ujumbe wake ufike kule Brettonwoods,yalipo makao makuu ya taasisi tatu mumiani duniani za WB,IMF na WTO.Sera za taasisi hizi ndizo zinazoumiza uchumi wa Afrika.
Ujumbe wake ufike kwa mawakala wote wa mabeberu hapa nchini;wanaoshabikia,kupigia debe na kunufaika na 'sera fukarishi' za mumiani hawa Magharibi.
Tumuunge mkono Rais wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mlinde Rais wetu.
 
Ni kauli ya kinafiki kwa sababu pamoja na kujaliwa rasilimali chungu nzima mbali mbali lakini hadi hii leo Watanzania hatujaona lolote la maana kutokana na mikataba mbali mbali iliyosainiwa na nchi au makampuni mbali mbali toka nje.

Mikataba hiyo haina maslahi kwa Tanzania na Watanzania na haikusainiwa na mabeberu bali Watanzania wenzetu ambao walijiona wao wana haki ya kusaini mikataba isiyo na maslahi na kuifanya ni siri kubwa.

Wakati mikataba hiyo yote inasainiwa huyu alikuwemo ndani ya Serikali na hakuguna na alishiriki kwa 100%. Umywahi kumsikia huyu hata siku moja akipinga mkataba wowote wa rasilimali za Tanzania?

Aliyenunua boti liliooza la bilioni 8 ambalo sasa liko juu ya mawe alikuwa beberu wa kutoka nchi za nje? waliokwapua nyumba za Serikali walikuwa mabeberu toka nchi za nje? walioshiriki katika ufisadi wa EPA, Escrow, Kagoda, Meremeta, IPTL, Lugumi, UDA, Pride, Kiwira Coal Mining etc walikuwa mabeberu toka nchi za nje!?

Acheni kukurupuka na kuunga mkono kauli za kinafiki. kama ana nia njema na rasilimali za nchi aiweke mikataba yote ya rasilimali za nchi hadharani.
kp06112014-jpg.372981
Safi kabisa...hizi ndo tunaita hoja firanishi
 
Back
Top Bottom