nimefurahia jibu! Kiuhalisia wengi hukwama Kwa kulazimisha Kuna bati zenye gharama kubwa bila kuangalia budjet, mwisho wa siku nyumba haisishi mpaka bati kupauka!bati ni bati tu mkuu... kwani kuna mtu huwa anatembea juu ya bati ukiezeka!?
tunajijaza vitu kichwani tu.... bati ni bati