Wewe umepaua nyumba yako kwa mabati ya kampuni gani? Nyumba ina muda gani na ubora wa mabati unayotaka yawe mbadala wa ALAF Galco ni upoje?Kwa utafiti wangu mdogo nimeona watanzania tunapigwa na wauza mabati ya ALAF kwa kuaminishwa kua yako special sana kuliko mabati mengine.
Haya mabati tunapigwa, hayana ubora wa kipekee kuliko mabati mengine, hayana utofauti wowote.
Kwa kweli sijaona chochote cha ziada kwenye hayo mabati. Usiwe draged na majority, hayana upekee wowote.
Bati kuzungushwa mbali mrefu siyo issue, ni suala LA Technology mkuu.
Bando 1 kg 90. Bando kuwa na bati 16 inategemea na gadge ngapi. 16 ni gadge 30. Bati 12 ni gadge 28 nayo inakuwa na kgm 90....Bando moja bati 16?
Hiyo haiuzwi kwa Bandle Kiongozi namm nilichukuwa bati kulingana na uhitaji wangu so walinikatia kulingana na uhitaaji wangu kulikuwa na za mita moja moja, mbili na nusu, za mita tatu hadi mita sita kama sio sita ni saba so ilikuwa inategemea na kila upande wa paa una urefu kiasi gani na bati zikachukuliwa kulingana na huo urefu na upana wake kwa upande wa upana wa paa nifundi akae apige hesabu kwa upana huu zitakaa bati ngapi so sikuchukua bati za urefu mmoja mm kwenye urefu sikukata bati hata moja kwani ulikuja urefu niliouhitaji bati.Bando ilikua bei gani, na bati ngapi
ALAF wapo vzr mkuu kinachowasumbua wengi nigarama zao ila nivyema ujichange uchukue kitu chakueleweka kuliko kuchukua zabei rahisi thn mwakan tu unarud kuanzisha uzi wakushauriwa rangi nzur yakupaka kwene Bati
Hivi Alaf kiwanda chao kiko wapi? Ningependa niwatembelee siku moja na data zangu nione gharama zao ili nijue hichi kibanda changu kitanigharimu sh ngapi?
Na by the way nyie wengine mnaolalamika mabati yanawazingua mtudadavulie mmenunua ya geji gani?
Maana siku zote bati ni geji hizo rangi ni mbwembwe tu.
Asante kwa kunijuza.Ukiwa TAZARA chukua barabara ya Nyerere kuelekea Posta nadhani nikabla ya RTD/TBC siku hizi kuna barabara moja matata sana kwa kifupi ni korofi sijui siku hizi hiyo barabara inainga mkono wa kulia kama upo barabara ya Nyerere kuelekea Posta. Au ukifika TAZARA Uliza tu kiwanda cha ALAFU KIPO WAPI Ila kuwa makini kabla ya kuingia kiwandani kuna watu wa mabanda wanauza hao mabati karibia yote ambayo ni rejected japo wengine wanasema wanakuwa wanafanya deal na wafanyakazi so mabati wanayouza ni salama kabisa!
Mkuu hiyo rangi ya charcoal grey ni nzuri hadi kero, binafsi nilitoa 6M huku nachekelea kuchukua hilo bati na kamwe sijawahi kujuta.Binafsi mm nalikubali bati la ALAF na ndilo nililoezekea nyumba na nilienda kuchukuwa kiwandani kwa vipimo nilivyokuwa navihitaji, asikwambie mtu bati lina miaka minne kasoro lakini utaliona chafu kipindi cha kiangazi kama lina vumbi hivi sasa ngoja mvua inyeshe utadhani ngozi ya nyoka mweusi Nimeezekea versetile rangi Chacoal grey! Nilipata na wasaa wa kuingia kiwandani asikwambie mtu material yanavyobadilishwa kuwa bati ni hatari na sheet inazungushwa umbali mrefu kabla ya kuanza kukatwa na mbaya zaidi nikaambiwa hicho kiwanda kilikuwa cha serikali enzi za Nyerere!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Nikahuzunika.
Naomba baada ya miaka 2 uje kutupa mrejesho.Sunshare is the best brandy
Mkuu inshu ya bati inahitaji umakini mkubwa sana ukikosea hapa hutatamani kuitazama nyumba yako. Ni bora ujipange uchukue kitu kilicho bora, ukitaka unafuu kwa sasa inaweza kukugharimu hapo baadae.Embu leteni variaties ya bati na garama zake. Binafsi natafakari ains gani za bati nikayotumia kuezekea lakin unafuu wa bei kuzingatiwa
Yanalingana ubora hata mafundi huwa wanashauri ALAF na SUNSHARE.Jaman vp kuhusu SUNSHARE nayo je yanalingana na ALAF????
Nzuri sana huwa nikiona nyumba imeezekwa hiyo rangi lazima niishangae shangaeMkuu hiyo rangi ya charcoal grey ni nzuri hadi kero, binafsi nilitoa 6M huku nachekelea kuchukua hilo bati na kamwe sijawahi kujuta.
Atakuwa alikudanganya huyo jirani yakeInategemea na kampuni,kuna jamaa yangu alipaua na bati za kampuni 1 ya wachina inaitwa eagle,unaenda mwaka wa 3 bati ziko vile vile,jirani yake alipua na alaf,ngoja niishie hapa kwa leo
Dragoni ni majanga mnoMtoa mada ni Mfanyakazi wa Dragon Mabati au Sunshire
Sijaona fact ktk maandishi yako, as ulinunua na hukutosheka na ubora? Umefanya tafiti yoyote labda kwa vigezo/vipimo vinavyotumika ukabaini udanganyifu ama una refference ya kipi juu ya bidhaa husika? Nadhani yakupasa uje na fact pasipo hiyo hiki ulichokiandika ni rahisi kuata tafasiri ya chuki ama umbea.Kwa utafiti wangu mdogo nimeona watanzania tunapigwa na wauza mabati ya ALAF kwa kuaminishwa kua yako special sana kuliko mabati mengine.
Haya mabati tunapigwa, hayana ubora wa kipekee kuliko mabati mengine, hayana utofauti wowote.
Kwa kweli sijaona chochote cha ziada kwenye hayo mabati. Usiwe draged na majority, hayana upekee wowote.
Japo sikua vizuri ila nilijichanga nikapata hela ya kuyanunua huwa sichoki kuyatazama.Nzuri sana huwa nikiona nyumba imeezekwa hiyo rangi lazima niishangae shangae
Unajua maana ya biashara ni matangazo?Kwa utafiti wangu mdogo nimeona watanzania tunapigwa na wauza mabati ya ALAF kwa kuaminishwa kua yako special sana kuliko mabati mengine.
Haya mabati tunapigwa, hayana ubora wa kipekee kuliko mabati mengine, hayana utofauti wowote.
Kwa kweli sijaona chochote cha ziada kwenye hayo mabati. Usiwe draged na majority, hayana upekee wowote.