jcb
JF-Expert Member
- Jul 6, 2010
- 280
- 66
Serikali inaanzisha mradi wa mabasi yaendayo kasi kuja katikati ya jiji ili kupunguza msongamano na foleni katikati ya jiji.
Barabara ndo hivyo Mh. John P. Magufuli anaendelea nayo ili kufanikisha hili.
Hivi kweli hili ndilo suluhisho la foleni? Na mabasi haya yataleta tija kwa Taifa hili?
Je fedha inayo wekezwa katika mradi huu itakuwa na faida?
Je kuna shughuli za uzalishaji kiasi gani katikati ya jiji au ndo tuna kwenda kariakoo kununua bidhaa? Maana shopping zetu nyingi tunafanyia kariakoo hata mtu akihitaji chupi anakuja katikati ya jiji kununua.
Wana JF naomba mnisaidie katika hili kwani nimetafakari nimekosa jibu au majibu juu ya hili.
Barabara ndo hivyo Mh. John P. Magufuli anaendelea nayo ili kufanikisha hili.
Hivi kweli hili ndilo suluhisho la foleni? Na mabasi haya yataleta tija kwa Taifa hili?
Je fedha inayo wekezwa katika mradi huu itakuwa na faida?
Je kuna shughuli za uzalishaji kiasi gani katikati ya jiji au ndo tuna kwenda kariakoo kununua bidhaa? Maana shopping zetu nyingi tunafanyia kariakoo hata mtu akihitaji chupi anakuja katikati ya jiji kununua.
Wana JF naomba mnisaidie katika hili kwani nimetafakari nimekosa jibu au majibu juu ya hili.