Tilisho RomboHv kuna ma bus mazur kweli kampuni hiyo? Naona BM kama kawa funika kbs!!
Tilisho RomboHv kuna ma bus mazur kweli kampuni hiyo? Naona BM kama kawa funika kbs!!
KabisaaaKesho yanafunguliwa na latra wataomba msamaha.
.......mm kwa kweli i prefer Kidia One...siti kubwa huduma fresh hadi kahawa unapewa!.... ni wewe tu kupanda na makande yako chai unaikuta humo!Tilisho Rombo
huna akili.Basii zote zinazidisha NAULI lakin mchaga amebebeshwa mzigo wote chuki na roho mbaya
Ni bovu usije jichanganya... Aisee hamna safari niliichukia kama Ile.... Last year wakati natoka Nairobi nikafika Arusha saa 9 usiku nikapanda Lile la usiku .... Yaani mende unakaa nao siti moja
Kuna moja Namba A, nililiona Kigamboni nusu nipande nikijua gari la Kimbiji!
BM unamwacha wapi...?? Gari mpya zote anapeleka ruti ya DSM -Ars......Hizi zikichoka tuu kidogo anazutipa ruti ya DSM-Moro....Anatakiwa achukue a very long break ajipange.... Kuna wamba kama kina tilisho
Kwani latra wamesimamisha sababu ya kuchoka? Nafikiri wewe ndo mnafiki
Siwezi poteza muda wangu hapa......mnaenda kufa kama Dar espress
Hakikaasilimia kubwa ya mabasi ya Tanzania siyo ya kupanda binadamu, ni basi tu vitu vingi mno vimefumbiwa macho..!!
Hahahahaha na wewe ulipigwa baada ya kujichanganya tangu lini Kilimanjaro ikaenda karatu wakati Karatu kuna Dar express,Ester, Saibaba na Lakrome.Waliwahi kunifanyia uhuni Karatu-Dar sintowasahau. Unakata tiketi Kilimanjaro Express unasafiri na La Crome? Acha wafungiwe tu
LATRA inafanyakazi kwa mzuka.LATRA swala la Kilimanjaro kuwa na Bus nyingi mbovu hamjaliona ninyi mmeangalia Tiketi tu ila usalama kwa abiria sio Jukumu lenu...
Toka Air Msae, jamaa biashara halali hawezi na serikali kaiweka mfukoniBasi za Kilimanaro Express tangu zikiwa rangi ya kijani ni matatizo hawataki kulipa kodi kila mara yanakamatwa na bosi naye akakamatwa Temeke akasukumwa ndani akaja na mabasi meupe bado matatizo ni yaleyale.
Kuwa na magari mengi namba AA sio tatizo ishu.hao jamaaa jau sana walitakiwa wawafungie hadi krisimasi ijayo , kwanza kampuni gani imejaa magari namba AAA za kumwaga wakati wenzao hadi leo wana ndinga namba EE latest kabisa hadi za one by two na wengine one by one luxury full ac na viyoyozi ndani toilet kama kawa. piga kima hao.