Duuh aisee hii kiboko...! Kuna msemo unasema "money is not everythig but, lack of it is". Huyu Rais wa Tunisia alipata hela zote alizotaka lakini mwishowe ukweli unabaki, hela sio kila kitu...!
Kweli sijui ni lini viongozi wetu wataamka na kuacha tamaa kama hii...!
hata viongozi wetu wako hivyo hivyo-ndo maana wengine bilioni 2 waliona ni vijisenti; wengine bilioni 94 za dowans wakasema ni mapato yao ya wiki ya biashara zao. We acha tu, tanzania ki kichwa cha mwenda wazimu. ukweli utabainika baadae hadi watanzania watakapobaini maisha duni yanasababishwa na viongozi wabinafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.