wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,534
Ni Mwingereza Kabisa Ambaye Ameishi Huku Miaka Mingi Sana,alisoma Kiswahili Tabora Kiparapara,kaoa Mchaga Ambaye Mimi Nilikuwa Mwalimu Wake Wa English Miaka Ya Nyuma Sana,mke Wake Anaitwa Manka Na Wanaishi Sinza Africa Sana,sijui Kama Wamehama,pale Nilikuwa Naenda Mara Kwa Mara Kumfundisha English Yule Mama Enzi Zile Nikiwa Nasoma Nina Umri Wa Miaka 17 Tu,siku Moja Baada Ya Miaka Kadhaa Nikiwa Nimeandika Mswaada Wa Kitabu Kimoja Nilienda Kwa Mabala Ili Anisaidie Niweze Kukichapisha Kitabu Nilipofika Pale Kwake Nikagonga Geti,halafu Nikawa Nachungulia Kwenye Tundu Dogo Nikamuona Mlinzi Anaongea Na Motherhouse 'manka' Mlinzi Alipokuja Kufungua Nikamwambia Ninashida Na Mzee Nikajitambulisha Mie Ni Nani,kusikia Ni Teacher Yule Mama Akagoma Nisiingie Ndani,sikushangaa Nakumbuka Marehemu Salama Dada Yangu Aliyekuwa Akiishi Kijitonyama Aliwahi Kunieleza Tangu Awali Kuwa Manka Ana Roho Mbaya Sana,ni Mama Mmoja Hivi Mweusi,sijui Kama Hadi Leo Hii Wapo Sinza Au Wameshahama,anayejua Atakubaliana Nami,kuwa Nasema Kweli.