Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Katika gazeti la Raia Mwema kuna sehemu hii ya makala za "Aya za Ayah Binti Hidaya". Mwandishi wa makala hizi licha ya kuwa na ujumbe mzito lakini huwa zinakuwa zimeandikwa kwa namna ambayo inavutia sana kusoma. Mtu unasoma ukiwa unatabasamu hata kama ujumbe unakera.
Naomba kumjua mwandishi wa makala zile ambae anajitambulisha kama MABALA WA MABALAA...
Naomba kumjua mwandishi wa makala zile ambae anajitambulisha kama MABALA WA MABALAA...