Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 578
je unapatikana wapi best yangu
Mimi nipo Sinza kwa Remmy jirani na Jaji Mstaafu Makanja. Ukifika Sinza kwa Remmy kuna bar maarufu inaitwa "B" Bar, unaingia kwenye kinjia hicho kilicho ubavuni mwa B Bar na unakuja moja kwa moja mpaka mwisho wa njia, gate linalokutazama ikiwa unakuja ni la Jaji Makanja, kulia kwako ukiwa unalitazama hilo geti ndiyo nyumbani kwangu. Opposite na container la Twitter.
Namba zangu ni 0689771331 na ukinikosa piga 0756803528 (usishtuke akijibu mume wangu, babu Abdul, ni namba yake hii) na sehemu zingine unazopatikana ni hizi:
Dar es Salaam
Dar Home Delivery: Yakoub = 0655798139
Ilala / Kariakoo = Raymond Mushi - 0713422069 na Joyce Mchagga - 0719024967.Pemba Street House No 12 Karibu na Msimbazi Police.
Magomeni = Dina - 0714222237
Ilala kwa Masai Kimako = Mwanahamisi Saloon 0718775220
Kijitonyama - Vivian Mshomi - Stendi ya Makumbusho - 0757176678 / 078476678 / 071576678 / 0776154933
Sinza = Aunt Zainab - 0769302206
Zanzibar (Unguja)
Dr. S. Shafi 0754650480
Arusha
Mama Aida -0754445733
Dodoma
Rukia - 0653249898
Lindi
Nuru - 0717461575
Mbeya
Haule - 0756994850 na 0784658349
Mwanza
Mama Alex / Bonge 0768545736 na 0765072213
Morogoro
Lina Mafwere - 0754297319 Boma Road.
Tanga
Farouq - 0719190000
Bei za wasambazaji zitatofautiana na bei zetu za promotion kwa sasa, kwani kuna gharama wanazoingia za usafirishaji na faida yao.
Kwa maelezo yoyote ya ziada wasiliana na Aunt Zainab 0769302206 au babu Abdul 0756803528
Update: 08-04-2015
Bei za Promotion zimekwisha rasmi 31-03-2015 kwa sasa bei zetu hazitotafautiana na Mawakala, Recommended Retail Price ni 3,500 kwa paketi moja (reja reja).
Asante
Zainab