KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 17,784
- 31,596
mtoa mada upo kikeni au kiumeni
.....????
.....????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
psoriasis siyo fungus ni ugonjwa ambao kinga ya mwili inashambulia mwili. tiba yake iko serious inahitaji dermatologist.Mimi ninayo psoriasis yaani fungers long time back lakini sijapata dawa maalum...na nahisi iko vile vile
kwani dawa aina yingi nimetumia...nipeni ushauri wa dawa nzuri ya kutumia.
Soma vizuri post kabla ya Ku comment, usikurupuke na mm sio ke ni meKwanini umsingizie mtu. We sema tu ni wewe ushauriwe.
Nenda Hospital kaeleze watakupa dawa
Ahsante sana kwa hilo na mungu akubariki sanaMashauri amuone mshauri huyu wa afya atamaaidia sana me nilikuwa nayo alinisaidia ikaisha kabisa no yake 0758768855 yupo ubungo