KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Utashi na mtu atkavyokuwa baadaye huanzia tumboni mwa *****.yapo mambo mengi yanayotokea wakati mtoto anakuwa tumboni na baada ya kuzaliwa.yote haya yana sababishwa na mambo mengi sana ya kibailojia na kimazingira.mtu fulani anaweza kuiga tabia ya mzazi/wazazi,rafiki au watu wengine anaokuwa nao,mazingira fulani ,kusafiri nk.:sasa kama mtu atakuwa kiongozi ambaye hana maadili na malezi ambayo yamechangiwa na kuona, kuiga, kurithi ,kuzaliwa nayo, yaliyokuwa ni maendeleo.ufanisi katika utendaji basi hata huo uongozi na utendaji utakuwa kazi bure tu.Ndiyo maana unaona kiongozi anabakia kusema mimi siwajui hawa/hao,au nawajua lakini wajitoe wenyewe.kwa kiongozi huu ni upungufu mkubwa sana.Kiongozi anatakiwa apimwe na anaowaongoza,na kama wengi wao wakinuna au kugunaguna basi ajue huyo kiongozi ana tatizo.tuwe makini wakati wa kuchagua viongozi ambao watachukua majukumu mazito ya kuongoza nchi