Tetesi: Mabadiliko/Uhamisho wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa Yaja

Huyu rais hapendi kuwa pre emptied akisoma uzi wako hata kama alikuwa na hiyo nia anaacha...hataki mitandao imuendeshe
Hakuna lolote mbona Nape alishasemwa karibia miezi kaza nyuma kuwa mkulu anataka kumtumbua nailiongelewa sana hapa jf naikaja kutokea kweli amemtumbua hajambua? Nachowapendea waTz wana maono ya ukweli sana sijuhi wanakuwaga ndani ya moyo wa mkulu?
 
Bashite aende simiyu? Uko kuna WCB Clouds Azamtv uko wapo akina kajala na masogange?...Mh wa Simiyu anafanya mambo makubwa sana wakimtoa pale natabiri kuna watu wataandamana jamaa yuko vizuri sana huwez linganisha na akina bashite na gambo hebu .. bashite yeye asubiri maziko yake uko uko dsm
 
nikimtazama Bashite nacheka najiuliza season 4-7 za madawa ya kulevya zimeishia wapi! alafu mwakani matokeo ya form 4 yakiwa tena mabaya atakuja na kiki gani na media zimemtosa?
 
Wana Jamvi, mabadiliko na uahamisho wa baadhi wa wakuu wa mikoa yamo mbioni. Hii inatokana na kile Paskali anachokiita TREND READING. Kuna shinikizo kubwa la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kutoka Jiji hilo.Kuna ripoti inasubiriwa ya Kamati ya maadili ya Bunge na kesi ilofunguliwa dhidi yake. Kuna uwezekano AKAHAMISHIWA Simiyu. Dar es Salaam atakuja Mkuu wa sasa wa Arusha, wa Tanga akaenda Arusha, wa Simiyu akaenda Tanga. Katika zoezi hili Mkuu wa Mkoa wa Njombe ATAONDOKA, wa Singida ATARUDI Njombe. Mkuu wa wilaya Iringa atapanda na kuwa RC Singida...

Chonde chonde mabadiliko yasiguse tanga tafwazali sana
 
Mhe rais hataki kupangiwa kabisa alishasema.sasa kama umezinyapia nyapia ziwe za kweli au zisiwe za kweli ndo kwanza atabadir kabisa na kama alikuwa na nia hiyo na ww ushakurupuka hapo ndo anaacha kabisa kufanya mabadiriko.
 
Kweli kabisa mkuu yaani hawa watu wa tetesi ndio wanaochelewesha Bashite kutolewa Dar . Maana mkulu nahisi humu ana ID yake au anasoma kama guest bila kulog in ili ajue kama hizi tetesi zimeshavuja ili asitishe mambo yanayokuwa predicted.
Huendae mleta Mada ndiye bashite mwenyewe kuzidi kumchanganya rais.
 
Wana Jamvi, mabadiliko na uahamisho wa baadhi wa wakuu wa mikoa yamo mbioni. Hii inatokana na kile Paskali anachokiita TREND READING. Kuna shinikizo kubwa la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kutoka Jiji hilo.Kuna ripoti inasubiriwa ya Kamati ya maadili ya Bunge na kesi ilofunguliwa dhidi yake. Kuna uwezekano AKAHAMISHIWA Simiyu. Dar es Salaam atakuja Mkuu wa sasa wa Arusha, wa Tanga akaenda Arusha, wa Simiyu akaenda Tanga. Katika zoezi hili Mkuu wa Mkoa wa Njombe ATAONDOKA, wa Singida ATARUDI Njombe. Mkuu wa wilaya Iringa atapanda na kuwa RC Singida...
we umeharibu ungekaa kimya mpka mtu aende SIMIYU.
 
Back
Top Bottom