Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mkuu Ronaldo, kumbe Lowassa alitakaswa vya kutosha. Sasa hili la ufisadi linatoka wapi? Kumbe ndio maana watu wakisema kama Lowassa ni fisadi basi aburuzwe mahakamani, wapinzani wake wanasema ni fisadi huyo. Jamani fisadi kwa lipi utasikia ni fisadi tu hata Nyerere alisema kwa kunukuliwa na Kasori! Mpelekeni basi mahakamani. Utasikia wakisema huyo ni fisadi na alijiuzulu kwa ufisadi. Kumbe masikini wa mungu hakujiuzulu kwa ufisadi.