Nilikuwa nazungumza na mtu mwenye cheo cha juu sana ccm akaniambia mabadiliko ya katiba ya CCM ni moja ya mikakati ya kumwondoa Lowassa katika kinyanganyiro hivyo akina Nape wameshinda round ya awali.
Kwamba Lowassa ana nguvu sana na ukimpeleka Halmashauri kuu na Mkutano mkuu atashinda. Mkakati ni kumwondoa katika ngazi ya kamati kuu lakini kisiki alikuwa Mkapa na viongozi wengine wastaafu akiwamo Karume. hivyo kuwaondoa hawa Wazee kamati kuu ni kuondoa nguzo ambazo zingemtetea Lowassa wakati wakijadili jina lake likatwe. Na pia anasema mkapa ndie kiongozi mwenye nguvu na msimamo zaidi ndani ya chama hivyo ilikuwa muhimu kumwondoa katika nafasi za maamuzi. Akabainisha jinsi Nyerere alivyoingila mchakato wa kumpata Mkapa ni kwa kuwa alikuwa mjumbe wa vikao vya maamuzi otherwise asingefanya hivyo.
Kwa wale wanaokurupuka watasema ni hadithi ya kutungwa, sawa tu ila anayeweza kuwaza vizuri ataona mantiki ya taarifa hiyo
Kwamba Lowassa ana nguvu sana na ukimpeleka Halmashauri kuu na Mkutano mkuu atashinda. Mkakati ni kumwondoa katika ngazi ya kamati kuu lakini kisiki alikuwa Mkapa na viongozi wengine wastaafu akiwamo Karume. hivyo kuwaondoa hawa Wazee kamati kuu ni kuondoa nguzo ambazo zingemtetea Lowassa wakati wakijadili jina lake likatwe. Na pia anasema mkapa ndie kiongozi mwenye nguvu na msimamo zaidi ndani ya chama hivyo ilikuwa muhimu kumwondoa katika nafasi za maamuzi. Akabainisha jinsi Nyerere alivyoingila mchakato wa kumpata Mkapa ni kwa kuwa alikuwa mjumbe wa vikao vya maamuzi otherwise asingefanya hivyo.
Kwa wale wanaokurupuka watasema ni hadithi ya kutungwa, sawa tu ila anayeweza kuwaza vizuri ataona mantiki ya taarifa hiyo