Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
<br />Kuna habari kuwa maaskofu wa kinachoitwa makanisa yasiyofungamana na upande wowote wamemwandikia spika wa bunge barua wakiomba kupewa nafasi ya kwenda Dodoma kuliombea Bunge ili lisikumbwe na mauzauza ya unga unga tena.<br />
<br />
Pili kanisa limeamua kumrudishia Rostam sadaka yake leo .....<br />
<br />
Mwanzo wa drama ama mwisho wa picha?<br />
<br />
more news to come later.
<br />
Basi,
wewe usiwaombee watu hawa,
wala usiwapazie sauti yako,
wala kuwaombea dua, wala
usinisihi kwa ajili yao; kwa
maana sitakusikiliza.
(Soma Yeremia 7:16)