Maaskofu Katoliki watoa waraka tena

Swal la USENGE makanisani ni kansa kubwa na inaathiri jamii na kuongeza kasi za ukimwi na pia nikosa la kuenda jela!

Chakushangaza makanisa wamelikalia kinymwa swalal hili la laana, sio tu nilaana kwa dini ya ukiristo bali pia kwa taifa, niwajibu wao watoe waraka mkubwa wa kuwaelimisha wachristo athari na laana ya usenge, badala ya kutoa nyaraka za kisiasa kila baada ya miezi sita na huku kanisa likigawanyika kuhusu mchezo huu wa usenge.

Wako wenye mawazo pungufu hapa jf, tukiongelea swala la usenge kanisani wanasema tunatukana, tuna mapepo, Je wale wachungaji walio jadili wakafanya kikao kikubwa Tanzania 2009 na huku wakitumia gharama kubwa hivi nao wanamapeop?

Say samething church, Shame on you !!!!!!!!

utaeleweka vizuri tu ukitumia lugha ya kistaarabu,tumia neno SHOGA badala ya hilo unalolitumia kwa herufi kubwa.
kanisa katoliki hawasupport ushoga,hao priests waliofanya hivyo vitendo ni individuals sio imani ya kanisa kwa ujumla,kuna masheikh wengi tu wanaendekeza ushoga lakini hilo halimaanishi msikitini wanaruhusu hali hio.
Back to the point,WARAKA ni muhimu kuelimisha wapiga kura bila kujali unatoka wapi.
jaribu kujadili waraka ndio thread hii lengo lake, au anzisha thread nyingine ujadili ushoga kama uko interested sana na hio mada ya ushoga.
 
utaeleweka vizuri tu ukitumia lugha ya kistaarabu,tumia neno SHOGA badala ya hilo unalolitumia kwa herufi kubwa.
kanisa katoliki hawasupport ushoga,hao priests waliofanya hivyo vitendo ni individuals sio imani ya kanisa kwa ujumla,kuna masheikh wengi tu wanaendekeza ushoga lakini hilo halimaanishi msikitini wanaruhusu hali hio.
Back to the point,WARAKA ni muhimu kuelimisha wapiga kura bila kujali unatoka wapi.
jaribu kujadili waraka ndio thread hii lengo lake, au anzisha thread nyingine ujadili ushoga kama uko interested sana na hio mada ya ushoga.



Kiswahili kinajitosheleza kuna maneno mengi wanaweza kutumika kwa maana moja kama Shoga ni sawa na ****** na kama vile kiingereza Homesexual na gay yanmaana mamoja, yoyote yuko na haki kutumia hayo maneneo

Usenge na ushoga ni maana moja na sio matusi, isipokuwa kitendo chenyewe ni kichafu.

Usenge/Ushoga for your info!! umebarikiwa makanisa mengi na wanafungisha na kubariki ndoa, nitafauti na misikitini, huko misikitini haviruhusiwi kabisa full stop! bali makanisa mengi ni rukhsa.

The point is Kanisa katoliki wanmajukumu makubwa kupinga hiki kitendo cha laana, na wanatakiwa kutoa nyaraka nying kukemea, washafishe makanisa kwanza kwa sababu hayo ni majuku yao namba one badala ya kukurupuki siasa na kuwaelimisha wananchi jinsi ya kuvote kila baada ya miezi sita

Wakatoliki wawajibike on their area of responsibilities and then political responsibilties
 
Swal la USENGE makanisani ni kansa kubwa na inaathiri jamii na kuongeza kasi za ukimwi na pia nikosa la kuenda jela!

Chakushangaza makanisa wamelikalia kinymwa swalal hili la laana, sio tu nilaana kwa dini ya ukiristo bali pia kwa taifa, niwajibu wao watoe waraka mkubwa wa kuwaelimisha wachristo athari na laana ya usenge, badala ya kutoa nyaraka za kisiasa kila baada ya miezi sita na huku kanisa likigawanyika kuhusu mchezo huu wa usenge.

Wako wenye mawazo pungufu hapa jf, tukiongelea swala la usenge kanisani wanasema tunatukana, tuna mapepo, Je wale wachungaji walio jadili wakafanya kikao kikubwa Tanzania 2009 na huku wakitumia gharama kubwa hivi nao wanamapeop?

Say samething church, Shame on you !!!!!!!!

Mkuu Bull,suala si kwamba ushoga hauko katika jamii yetu(Na sio kanisani tu..) na kamaunasema kanisa halikemei hilo sidhani kama utakuwa sahihi sana,labda sijui huko unakosali au kusimuliwa lakini kwetu wanakemea waziwazi,....kanisa/taasisi za kidini haziwezi kuacha kuchochea maendeleo kwa njia ya elimu eti tu kwa sababu kuna upungufu fulani katika hiyo taasisi...that is being Myopic
 
Naona huu mjadal umegeuzwa kutoka Waraka mwingine wa Kanisa Katoliki na kupindishwa mada kwa manufaa ya wenye chuki na Kanisa Katoliki. Ni vema kujadili mada badala ya kujadili masuala ya ushoga, fungueni thread nyingine kuhusiana na Kanisa na Ushoga badala ya kupindisha hoja na kupeleka mjadala kusiko.
 
Kiswahili kinajitosheleza kuna maneno mengi wanaweza kutumika kwa maana moja kama Shoga ni sawa na ****** na kama vile kiingereza Homesexual na gay yanmaana mamoja, yoyote yuko na haki kutumia hayo maneneo

Usenge na ushoga ni maana moja na sio matusi, isipokuwa kitendo chenyewe ni kichafu.

Usenge/Ushoga for your info!! umebarikiwa makanisa mengi na wanafungisha na kubariki ndoa, nitafauti na misikitini, huko misikitini haviruhusiwi kabisa full stop! bali makanisa mengi ni rukhsa.

The point is Kanisa katoliki wanmajukumu makubwa kupinga hiki kitendo cha laana, na wanatakiwa kutoa nyaraka nying kukemea, washafishe makanisa kwanza kwa sababu hayo ni majuku yao namba one badala ya kukurupuki siasa na kuwaelimisha wananchi jinsi ya kuvote kila baada ya miezi sita

Wakatoliki wawajibike on their area of responsibilities and then political responsibilties

BULL wote hapa tunakijua kiswahili pengine hata kuliko wewe. neno unalolitumia tena kwa msisitizo wa herufi kubwa katika jamii-uwazi ni tusi.Jifunze kupeleka ujumbe kwa fasihi staarabu. Mfano neno uke au uume ni maneno staarabu na unaweza kuyatumia kwenye forum kama JF usimkwaze mtu.

Kuhusu ushoga na Imani:
Kama wewe imani yako hairuhusu ushoga ya mwenzio inarusuhu mwaache aendelee. Nakupa mfano: kwa wakristo ni dhambi kubwa mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja lakini kwa Muislamu inakubalika, sasa kwa kuwa eti ukristo unapinga ndoa za wake wengi basi wawakemee waislamu wasitoe elimu ya uraia kwanza wakaelimishane kuwa ndoa za wake wengi ni dhambi? Kwa waislam si tatizo kuwa na mke zaidi ya mmoja

elimu ya uraia na misimamo ya kiimani ni vitu viwili tofauti. unaweza ukamhamasisha mtu asifanye kitu flani lakini wewe unakifanya wakati ukijua ni kosa.

Elimu ya uraia kuhusu uchaguzi ni muhimu bila kujali imani. tabia ua ustaarabu wa mtoa elimu. Kiongozi atakechaguliwa ataongoza wote bila kujali aliyepiga kura au kutopiga kura.

Kaka Bull tafadhali usitutoe kwenye mada. ni vyema ukaanzisha thread ya vita dhidi ya ushoga kama hao jamaa wanakukwaza sana.
 
Kiswahili kinajitosheleza kuna maneno mengi wanaweza kutumika kwa maana moja kama Shoga ni sawa na ****** na kama vile kiingereza Homesexual na gay yanmaana mamoja, yoyote yuko na haki kutumia hayo maneneo

Usenge na ushoga ni maana moja na sio matusi, isipokuwa kitendo chenyewe ni kichafu.

Usenge/Ushoga for your info!! umebarikiwa makanisa mengi na wanafungisha na kubariki ndoa, nitafauti na misikitini, huko misikitini haviruhusiwi kabisa full stop! bali makanisa mengi ni rukhsa.

The point is Kanisa katoliki wanmajukumu makubwa kupinga hiki kitendo cha laana, na wanatakiwa kutoa nyaraka nying kukemea, washafishe makanisa kwanza kwa sababu hayo ni majuku yao namba one badala ya kukurupuki siasa na kuwaelimisha wananchi jinsi ya kuvote kila baada ya miezi sita

Wakatoliki wawajibike on their area of responsibilities and then political responsibilties

Jamii ya watanzania inamakundi mengi, wote ni ndugu na tunajukumu la kujenga nchi yetu. Mtu mmoja mmoja au taasisi tunachangia katika kuifanya nchi yetu iwe bora. Taasisi za dini, NGOs, Vyuo vikuu n.k. wote wanajukumu la kusaidia nchi yetu iwe na uongozi mzuri zaidi ya majukumu ya msingi walikuwa nayo.

Taasisi ya dini inayohubiri dini bila kusaidia kuboresha maisa ya binadamu haifai. Ndio maana taasisi za dini huko misikitini na makanisani huhubiri kuacha dhambi lakini pia hujenga shule, hospitali, hutunza yatima, n.k. Haya yote ni majukumu ya kimwili. Kwa ufupi binadamu ni mwili na roho. Ndiyo maana Yesu aliwalisha watu wenye njaa, kuwaponya wagonjwa n.k. zaidi ya kuwahubiria watu ufalme wa baba yake wa mbinguni. Pia mtume Mohamedi aliwasaidia wenye shida zaidi ya kuwaasa binadamu wamche Mungu. Ukisema taasisi za dini zisisaidie elimu ya uraia lazima pia ukubali kuwa taasisi za dini zifunge huduma zote za kijamii, huu mtazamo wako unawalakini sana. Mwenzetu unaamini kitu gani kinachotenganisha maisha ya kiroho na kimwili?
 
BULL wote hapa tunakijua kiswahili pengine hata kuliko wewe. neno unalolitumia tena kwa msisitizo wa herufi kubwa katika jamii-uwazi ni tusi.Jifunze kupeleka ujumbe kwa fasihi staarabu. Mfano neno uke au uume ni maneno staarabu na unaweza kuyatumia kwenye forum kama JF usimkwaze mtu.

Kuhusu ushoga na Imani:
Kama wewe imani yako hairuhusu ushoga ya mwenzio inarusuhu mwaache aendelee. Nakupa mfano: kwa wakristo ni dhambi kubwa mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja lakini kwa Muislamu inakubalika, sasa kwa kuwa eti ukristo unapinga ndoa za wake wengi basi wawakemee waislamu wasitoe elimu ya uraia kwanza wakaelimishane kuwa ndoa za wake wengi ni dhambi? Kwa waislam si tatizo kuwa na mke zaidi ya mmoja

elimu ya uraia na misimamo ya kiimani ni vitu viwili tofauti. unaweza ukamhamasisha mtu asifanye kitu flani lakini wewe unakifanya wakati ukijua ni kosa.

Elimu ya uraia kuhusu uchaguzi ni muhimu bila kujali imani. tabia ua ustaarabu wa mtoa elimu. Kiongozi atakechaguliwa ataongoza wote bila kujali aliyepiga kura au kutopiga kura.

Kaka Bull tafadhali usitutoe kwenye mada. ni vyema ukaanzisha thread ya vita dhidi ya ushoga kama hao jamaa wanakukwaza sana.

nimejaribu kumuelewesha huyu BULL lkn ni kama nampigia BULL gitaa....
 
Back
Top Bottom