Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,266
walizomewa sana na kdri walivyokuwa wanaenda watu walikuwa wanapungua hadi wakabakia hao kiduchu, kama wanavyopungua humu jamviniSasa nasikia kasheshe ilizuka baadae ofisi za CCM Nyamagana kwenye posho maana waliahidiwa hiyo posho na wengi hawakupewa.