Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Ni wanafunzi wa sekondari ya Eliboru,wameandamana leo asubuhi hadi kwa mkuu wa Mkoa wa Arusha,wakidai mazingira bora ya kusomea,wanadai pia wamekuwa hawafundishwi
Kwa sasa wamefunga barabara maeneo ya AICC baada ya RC kuwapa majibu yasiyoridhisha,
Kwa sasa wamefunga barabara maeneo ya AICC baada ya RC kuwapa majibu yasiyoridhisha,