Maandalizi

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,638
697,929
1449983565504.jpg
 
duh aisee kaw kaw amebambwa. Huku mbwa wapo wengi sana ila tungekuwa tunawala nadhan haya makoko yote yasingekuwepo
 
Hahahaa aho chakichaki hambu kitivo

lakn hata huku nina wasi wasi na wale wachoma mishkaki hasa maeneo ya stand. Kuna jamaa mmoja mchoma mishkaki alikuwa anaibiwa sana na makonda na madreva haisi lakn jamaa hakuwahi kufirisika kila siku mishkaki ikawa inaongezeka na kuna baadhi ya mambwa koko yalikuwa yakipotea mazingira ya kutatanisha
 
Wanataka aflash choo chote sijui logic ninini

Kufanya hivyo ni kupunguza bacterial load mwilini na hapo utapata nyama nzuri isiyoharibika mapema. Na hii ainatakiwa kufanyika kwa wanyama wote wanaotakiwa kuchinjwa. Ukienda machinjio za ng'ombe, mbuzi kuna sehemu inaitwa Lairage ambapo wanyama wanahifadhiwa hapo kwa masaa kadhaa (yasiyopungua 12) wakinywa maji tu kabla ya kuchinjwa. Bahati mbaya slaughter houses/slabs hapa nchini hazina hiyo sehemu.
 
Kufanya hivyo ni kupunguza bacterial load mwilini na hapo utapata nyama nzuri isiyoharibika mapema. Na hii ainatakiwa kufanyika kwa wanyama wote wanaotakiwa kuchinjwa. Ukienda machinjio za ng'ombe, mbuzi kuna sehemu inaitwa Lairage ambapo wanyama wanahifadhiwa hapo kwa masaa kadhaa (yasiyopungua 12) wakinywa maji tu kabla ya kuchinjwa. Bahati mbaya slaughter houses/slabs hapa nchini hazina hiyo sehemu.

Learned something new....!!!
 
Aisee, ntajitahidi sana kutokula nyama choma njiani. Sa ukiikuta haina bichwa na ngozi, mbona ka mbuzi alonona tu?
 
Hizi mambo wabongo tunacomplicate tu,hiyo ni nyama kama nyngine zilivyo,nimewahi ishi na hawa wachina miaka 3,kiukwel kwenye upande wa lishe wanajal sana, kwao mpaka sasa watu wanafikisha miaka90+,wanakula sana natural,tazama sisi wa kuchagua chagua!!iko poa binafs nishakula tena zaid ya mbwa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom