nampigia kura lowasa siku ya uchaguzi, hata akiwa mahututi mwimbili
anzisha thread yako a cha upumbavu
Dr Slaa hajapuuzwa, hajanunuliwa na ccm, bali alifanya maamuzi magumu na ya busara sana ya kustep-down kama Baba wa Taifa, Hayati Mwl JKN, alivyong'atuka mwaka 1985 baada ya kuona mafuriko ya mageuzi ya kutoka uchumi wa kijamaa kwenda uchumi wa soko huria hayazuiliki. Dr Slaa ameona mafuriko ya mabadiliko kwa kutumia 'ndege za kivita' kutoka upande wa adui ni ngumu kwake kuzisimamia kwa ufanisi, basi akaona awapishe wengine wafanye kazi hiyo. Ni uamuzi wa busara na atakumbukwa na kuheshimiwa kama Baba wa Mabadiliko. Go UKAWA, Go Lowassa.Dr slaa hakupuzwa bali alinunuliwa na ccm akawa anajishutukia mwenyewe, nguvu za umma zilimtisha kuhamia ccm moja kwa moja, Membe alimpatia Dola million 2 toka kwenye mapesa ya marehemu Gadafi.
Naona KTN ya Kenya wako hapa tayari wanarekodi rekodi maandalizi
inafahamika kwamba UKAWA wanakomboa nchi , sasa wenye akili wamekwisha jua .
nchi ina utaratibu......na sheria zifwatwe
mkuu me nina ham ya kuona au kusikia hlo tukia na ikitokea hvyo una elf kumi yako kwangmkuu ya kweli hayo
35.waliopitishwa na ccm kuhamia kesho