Maandalizi ya kumpokea mume aliyesahau simu yake nyumbani

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
75,003
156,329
395529_10200307883518631_1453942526_n.jpg
 
:smash: Unaweza usiikute:smash:


.......................................
Historia haiishiwi wino.
 
Mimi nilipoifuata ya kwangu saa limoja tokea niisahau, nilimkuta kanuna,teenth of missed calls,all sms kazifuta, si unanijua tena mwana JF ,simu za akina LARA 1 ,NIMEZISEVU kama vile 1. low battery
2. M4C
Kidume nakamata simu narudi ofisini fasta,njiani natuma sms kwa M4C , :VIPI DEAR ULITUMA TXT YOYOTE MAANA SIMU NILISAHAU NYUMBANI NAHISI MAMA NGINA KAFUTA SMS ZOTE BAADA YA KUZISOMA, wakati wa ku i send ile sms najikuta mamtumia tena wife.
Wife kanuna ila makubaliano yetu ni kuwa KAA MBALI NA SIMU YA MWENZIO, sio yake wala yangu,mwongozo ndio ulioniokoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom