Maandalizi na tendo la ndoa kwa mwanamke aliyekeketwa

Nyakageni

JF-Expert Member
Feb 1, 2011
15,045
5,093
Wanabodi habari,

Uzi huu ni maalum kwa watu wenye uzoefu wa kuwa na mahusiano na wanawake waliokeketwa, na pia wanawake waliokeketwa. Katika pita pita zangu niliwahi kukutana na mwanamke mrembo haswa (Mungu ni fundi, ashukuriwe) lakini katika hatua za mwanzoni alikuwa mgumu sana kuruhusu kukamilisha hatua ya mwisho ya mahusiano (ngono)

Ilinichukua muda kugundua kuwa atakuwa na walakini sehemu, nikaahidi sitomkwaza ndipo aliponiruhusu kumtoa nguo zake. Kwa kweli niliumia sana moyoni kukuta chuchu za maziwa zimeunguzwa na moto kwa kutumia waya, hivyo kugusa au kunyonya hapo ni kumuumiza tu

Kule ikulu nako Hali ni hiyo hiyo na zaidi ni kwamba kisimi (clitoris) ambacho ndiyo silaha pekee kwa mwanamke kilikuwa kimekatwa na mashavu ya pembeni kama yamebanwa hivi (sikuelewa vizuri hii) kufanya njia ya papuchi kuwa ndogo sana

Mwanzo nilipata taaabu sana na nusra niachie njiani na kuondoka zangu lakini nilijipa Moyo na kuamua kumuandaa kwa muda mrefu bila kugusa papuchi na chuchu zake na pia alinielekeza sehemu za kugusa na namna ya kugusa (kama pua na nayo zake) na ndipo baada ya saa moja na nusu nikaona yuko tayari kwa ajili ya tendo husika.....


Nimekutana na Hali hiyo kwa binti wa kipemba japo yeye ni kisimi tu kilikuwa kimekatwa kidogo (alisema ni imani yake ya dini) na sikupata taaabu sababu ya uzoefu

Nakaribisha maswali na mjadala kwani nina uzoefu wa kukutana na wanawake wa aina hiyo
 
Uislam umeruhusu ukeketaji wa kinyama kidogo ambao hautaleta madhara iwapo mwanamke atashindwa kucontrol hisia zake hivo kupelekea kufanya maasi..Ndio maana umekutana na huyo bnti wa kipemba aliekeketwa,,
Ila kumchoma chuchu jamn ni kuharibu umbile la mwanamke asipendeze kwa mumewe.
 
Uislam umeruhusu ukeketaji wa kinyama kidogo ambao hautaleta madhara iwapo mwanamke atashindwa kucontrol hisia zake hivo kupelekea kufanya maasi..Ndio maana umekutana na huyo bnti wa kipemba aliekeketwa,,
Ila kumchoma chuchu jamn ni kuharibu umbile la mwanamke asipendeze kwa mumewe.
Uslamu upi huo unaouzungumzia ww,hebu leta dalilun kwanza
 
nilitegemea nikute umeorodhesha hatua mbali mbali za kupitia ili kumwandaa mwanamke aliyekeketwa!

Tiririka zaid na wengine tupate uzoefu
 
Uislam umeruhusu ukeketaji wa kinyama kidogo ambao hautaleta madhara iwapo mwanamke atashindwa kucontrol hisia zake hivo kupelekea kufanya maasi..Ndio maana umekutana na huyo bnti wa kipemba aliekeketwa,,
Ila kumchoma chuchu jamn ni kuharibu umbile la mwanamke asipendeze kwa mumewe.
Tunashukuru sana kwa mchango wako. Kwanza nilifikiri ananitania ila niliheshimu maneno yake. Ila Kuna tofauti kubwa sana kati yao na hawa wanaotahiriwa kienyeji
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Uislam umeruhusu ukeketaji wa kinyama kidogo ambao hautaleta madhara iwapo mwanamke atashindwa kucontrol hisia zake hivo kupelekea kufanya maasi..Ndio maana umekutana na huyo bnti wa kipemba aliekeketwa,,
Ila kumchoma chuchu jamn ni kuharibu umbile la mwanamke asipendeze kwa mumewe.
Suo kupendeza tu!!! Mtoto atanyinyaje?? Mwanamke mwenye tuchuchu tudogo tu hua anashauriwa kuzivutavuta akiwa mjamzito ili mtoto apate pa kunyonya!!! Binadamu sisi wakatili jamani!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom