Maana ya neno hallelujah Diamond Platnumz amekosea kulitumia?

Nchi za Kiafrika huwa tunajifanya tunazijua dini sana kiasi kuliko ambao walituletea (wamishenari aka wakoloni)
 
Nchi za Kiafrika huwa tunajifanya tunazijua dini sana kiasi kuliko ambao walituletea (wamishenari aka wakoloni)

Imani hubakia valid kwa anayeamini

Kama huamini ni void na null.... Waachie wenyeimani zao, wala hutapungukiwa na chochote.
 
Ifike mahala kila mmoja wetu aheshim dini ya mwingine upumbavu wa ku-cross mstari unaacha dini yako unafanyia mzaha dini za wengine nikukosa hekima,
kukosa adabu na
kudhalilisha imani ya wenzako.

Kwanini kaamua kuparamia dini isiyomhusu?
Hata hiyo nyingine haimhusu, hakuna muumin anaye fanya anayo fanya !
 
Anatoa sifa katika mazingira ya dhihaka? Uchi na paspo na staha

Nenda msikitini bila kutawaza na ukaswali bila kufuata procedures.... Utapata kufundwa kama sio kufunzwa kwa bakora
Katika kila komenti yako unapoutaja Msikiti na waislamu naona huwa unapotosha mfano wko na wala huwa hauendan, msiktin km hujui hakuna hayo huyasemayo, eti bakora? How comes,? Pambana tu na hallelujah yako acha kuutaja Msikiti ktk mazingira yafujo kana kwmba unaitaja guantanamo, msiktin ni amani, upendo na kumcha الله, kama hujui procedures bc utafundshw na kuelekezwa, husipotoshe wt eti vboko..ww hoja yko nzuri stick kwny imani yko husiseme husilolijua...
 
Katika kila komenti yako unapoutaja Msikiti na waislamu naona huwa unapotosha mfano wko na wala huwa hauendan, msiktin km hujui hakuna hayo huyasemayo, eti bakora? How comes,? Pambana tu na hallelujah yako acha kuutaja Msikiti ktk mazingira yafujo kana kwmba unaitaja guantanamo, msiktin ni amani, upendo na kumcha الله, kama hujui procedures bc utafundshw na kuelekezwa, husipotoshe wt eti vboko..ww hoja yko nzuri stick kwny imani yko husiseme husilolijua...

Inawezekana tusikubaliane kwa hoja ukweli hujieleza wenyewe na mtunzi anafaham kwanini.

Amuulize kofii alomide yaliyomkuta kuchezeachezea imani za watu. Mpaka leo alomide ananidham maana alionja machungu yakudhihakisha imani ya watu.

Ukweli unabakia kisichomhusu mtu asikizihaki.
 
Wakristu hatuna hayo mambo.
Ukitamka haleluya wakati ukiwa humaanishi mambo ya mungu basi haina maana yoyote, linakuwa ni neno tu na halina utukufu wowote wa kimungu. Ni sawa na wanaovaa misalaba au rozari ambazo hazijabarikiwa, inakuwa ni urembo tu.
Hatuna tatizo na hilo.
Hiyo sawa kabsa asee
 
Imani hubakia valid kwa anayeamini

Kama huamini ni void na null.... Waachie wenyeimani zao, wala hutapungukiwa na chochote.
Na mie nina imani pia ila soma kwa makini hao wanaoamini alafu kila mmoja fanya kuchukua sample kwa kuangalia contribution zao za nyuma ndo utanielewa namaanisha nini vinginevyo hutanielewa
 
Inawezekana tusikubaliane kwa hoja ukweli hujieleza wenyewe na mtunzi anafaham kwanini.

Amuulize kofii alomide yaliyomkuta kuchezeachezea imani za watu. Mpaka leo alomide ananidham maana alionja machungu yakudhihakisha imani ya watu.

Ukweli unabakia kisichomhusu mtu asikizihaki.
Nikwel haifai kudhihaki imani ya mtu,,sisi ktk imani yetu tunahusiwa sana kuongea jambo ambalo una elimu nalo, kama jambo hauna elimu nalo bc tunakemewa vikali sana kutolizungumzia, sina tatzo na hoja yko,, kama uyo muimbaji amekosea lzma akemewe,.nlichojarb kukukumbsha tu kuhusu msikti, maana hadi me mwnyew najikuta yani naingia uoga jinsi unvyopaelezea,.ilo ndio tatzo ykuelezea kitu husichokijua, km muimbaji unayemshutumu pengne nae hata hakujua maana ya ilo neno kakurupuka tu....!!
 
Wengi waliocomment hapa ni fuasi wa Chadema,Mange kimambi na Ali Kiba....wengi wenu wimbo hamjausikiliza vizuri kwasababu kingereza ni lugha ngeni kwenu pili mnajenga hoja dhaifu ya kidini haina kichwa wala miguu waraabu na wazungu wametuweza na dini zao za kipuuzi kama mnapenda dini sana ni kheri muende kuishi Iran au Israel.....kiuhalisia wimbo ni mzuri.unachezeka pia unachangamsha ukisikiliza vizuri.
 
Back
Top Bottom