Maalim Seif Sharrif Hamad kumbe naye English yake ni shiiiiiida!

Ameongea kiingereza kizuri. Acha uongo kijana.Huwezi kumfananisha na naniliu hata kidogo

Mzee Tupatupa
Kingereza chake ni kibovu kabisa hebu achaneni na Mahaba, hebu ona mfano mmoja tu aliotoa mleta mada unaweza pata picha ya interview nzima!. Ila point tu ni kuwa yeye ni kiongozi wa waswahili hakiihitaji saana hicho kiingeraza cha ki- Malkia Elizabeth wa Uingereza, alichonacho kinamtosha. Ila kujichora huko kwa wageni hajui kama wenzao wamekwishamkubali Magufuli na Shein anajichora tu. Agrrr
 
Mim Mwenyew nimemsikiliza jamaa, English ni tatizo kwa wote :):):)
Yaani wewe umesema kweli. Penye ukweli pasemwe. hebu fikiria mfano tu wa Mleta bada vite vote vote, direct translation! Labda tu useme kwa kuwa anaongoza waswahili basi kinamtosha!
 
Ndugu zangu Watanzania hiki kiswahili cha Dunia (English) kweli kinatutesa na hasa Viongozi wetu wakubwa wa kisiasa! Na hii ni kutokana na tabia zetu za "kiswahili" za kutopenda kujisomea ! Viongozi wetu hawana "eloquency" ,viingereza vyao vikavu kuliko Ma- engineers waliohitimu kutoka vyuo vikuu vya Arabuni! Nimefuatilia mahojiano ya Shaka Sali na Maalim Seif voice of America hivi punde,haeleweki ,hoja zake hazishikiki sababu ya lugha sijui! Mfano amesema," people were given booklets to vote vote vote..! hivi katika uchaguzi kuna booklets! Angepaswa kusema "electorates were given ballot papers to cast their votes repeatedly ! Ni aibu kwenye international political arena ku-vibrate with such a poor english! Ingekuwa ni interview ya kiswahili tungeona povu jingi kweli!!! Mwisho napendekeza hata Bunge letu la Jamuhuri ya Muungano liendeshwe kwa lugha ya Kiingereza ili kuleta utulivu na kupunguza hoja za kipuuzi kutoka kwa baadhi ya Wabunge!

Kila Jamii ina Lugha yao, English ni Lugha ya kimataifa hilo hatukatai hata kidogo. Binadam anapojifunza Lugha ya mwenzake, yaani Lugha ya Jamii nyingine kuna baadhi ya maeneo hatakuwa 100% perfect! Cha muhimu ni kuhakikisha ujumbe ulioukusudia unawafikia walengwa tena wakati mwingine hata kwa kutumia ishara.

Pili, Kipimo cha msomi mzuri sio kuongea kiingereza kizuri kwa sababu hiyo ni Lugha ya Jamii ya Waingereza na sisi Watanzania tuna Lugha yetu. Kufaham Lugha kunategemea kwa asilimia kubwa maisha yako ya kila siku, watu unaoongea nao mara kwa mara, shughuli zako za mara kwa mara n. k.
 
Mimi sikuona tatizo lolote kuhusu kiingereza. Kiingereza anachoongea kinatosha kabisa kwa mawasiliano.
 
Nimemsikiliza akihojiwa na Shaka. Anaongea kingereza kizuri sana. Yakupasa ujue sio lazima aongee kizungu kama cha Malikia. Wasikilize wageni wanavyoongea kiswahili, ndio maana utakubali kuwa kizungu cha Maaalim kiko juu sana. Shaka anaishi US, lakini lafudhi yake sio ya kiMarekani
 
I know English is our 3rd language to Us but it won't Certify any stupidity won't secure you from critics resulted from Poor English after a Careful listening between two politician I learned Seif spoken English is better than JPM.


It is not news JPM in his more than 7 month serving as POT haven't taken any Foreign Travel although . Tanzania is a Beggar Country but i also Congratulate him for taking evening Classes he is learning hardly since he came into power may be early 2017 he shall start travelling.

N.B Rwanda I assumed as a Local nation bordering TANZANIA Paul Kagame also speaks Swahili.
 
Naona hata wewe upo kwenye kozi ya kiingereza. Jitahidi ili uwafikie hao uliowataja.
 
Pointless,maneno mengi kumbe division 5 ,Rudi kasome Articles upya ili ujue zaidi matumizi ya "a" "an" & "the"! Sehemu ya pili inaonyesha tu ulivyobobea kwenye "kiingereza cha kiswahili" ! Nyie ndo wale wa "kujibrothersugarcane"= kujikakamua!
Ni rahisi sana kulaumu, lakini unashindwaje kuweka ushahidi wako uwanjani hapa watu wakauhakiki. Sijui shule gani ulokwenda wewe ilokusomesha English ambayo sisi wengine tusiijuwe? Never underestimate someone you do not know!
 
Ndugu zangu Watanzania hiki kiswahili cha Dunia (English) kweli kinatutesa na hasa Viongozi wetu wakubwa wa kisiasa! Na hii ni kutokana na tabia zetu za "kiswahili" za kutopenda kujisomea ! Viongozi wetu hawana "eloquency" ,viingereza vyao vikavu kuliko Ma- engineers waliohitimu kutoka vyuo vikuu vya Arabuni! Nimefuatilia mahojiano ya Shaka Sali na Maalim Seif voice of America hivi punde,haeleweki ,hoja zake hazishikiki sababu ya lugha sijui! Mfano amesema," people were given booklets to vote vote vote..! hivi katika uchaguzi kuna booklets! Angepaswa kusema "electorates were given ballot papers to cast their votes repeatedly ! Ni aibu kwenye international political arena ku-vibrate with such a poor english! Ingekuwa ni interview ya kiswahili tungeona povu jingi kweli!!! Mwisho napendekeza hata Bunge letu la Jamuhuri ya Muungano liendeshwe kwa lugha ya Kiingereza ili kuleta utulivu na kupunguza hoja za kipuuzi kutoka kwa baadhi ya Wabunge!
Ipo siku watanzania mtajitambua kuwa kiingereza ni Lugha na sio maarifa
 
I know English is our 3rd language to Us but it won't Certify any stupidity won't secure you from critics resulted from Poor English after a Careful listening between two politician I learned Seif spoken English is better than JPM.


It is not news JPM in his more than 7 month serving as POT haven't taken any Foreign Travel although . Tanzania is a Beggar Country but i also Congratulate him for taken evening Classes he is learning hardly since he came into power may be early 2017 he shall start travelling.

N.B Rwanda I assumed as a Local nation bordering TANZANIA Paul Kagame also speaks Swahili.

Makubwa haya. Ha ha ha ha
Come on dude!
 
Which Error I made or your among of them!

umetumia maneno ya english sawa lakini ulichoandika mimi binafsi sijui ni lugha gani. Kwanza sentensi zako haziko kwa mpangilio pili paragraph zako ni very messy.

You are ama your?
 
I know English is our 3rd language to Us but it won't Certify any stupidity won't secure you from critics resulted from Poor English after a Careful listening between two politician I learned Seif spoken English is better than JPM.


It is not news JPM in his more than 7 month serving as POT haven't taken any Foreign Travel although . Tanzania is a Beggar Country but i also Congratulate him for taken evening Classes he is learning hardly since he came into power may be early 2017 he shall start travelling.

N.B Rwanda I assumed as a Local nation bordering TANZANIA Paul Kagame also speaks Swahili.
Rasi simba amesema labada azaliwe upya UK
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom