hii imetokea kwe ligi ya mchangani mchezaji alifunga goli akawa anashangilia kwa furaha mbele ya mashabiki gafla wakamuona anatoka nje na kuingia kwenye gari na kuelekea mtaani kushangilia kisha akarudi uwanjani kuendelea kucheza refa alipoona vile akaamua kujipa mwenyewe red card na mechi ikaisha