ZEE LA HEKIMA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,417
- 1,829
Mnapokuwa nae faragha unashindwa nini kumwomba awe anakupeti peti. Kama anakupa vingine vyoo-o-te kwani hiyo peti-peti atashindwa? Mbona hujifunzi kuridhika? Wanawake! Du!
Habari zenu wana JamiiForums,
Jamani leo nimekuja na stori inayonihusu, inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no job, sasa jamani tangu nikutane nae ni 2 years sasa ananihudumia kwa kila kitu mpaka credit jamani.
Kanipangia na analipa kodi na matumizi yote napata ila haniambiagi ananipenda wala kanimiss au kamiss mashamsham yangu hadi nimwambie ninahamu nae ndipo atume nauli ndio niende na ananikaza kisawasawa nikienda.
Sasa nimweleweje kuna upendo apo?
Matumizi yote napata ila hanipeti peti nimweleweje?
Hakupendi, anakununuaga tuu, hujijuiHabari zenu wana JamiiForums,
Jamani leo nimekuja na stori inayonihusu, inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no job, sasa jamani tangu nikutane nae ni 2 years sasa ananihudumia kwa kila kitu mpaka credit jamani.
Kanipangia na analipa kodi na matumizi yote napata ila haniambiagi ananipenda wala kanimiss au kamiss mashamsham yangu hadi nimwambie ninahamu nae ndipo atume nauli ndio niende na ananikaza kisawasawa nikienda.
Sasa nimweleweje kuna upendo apo?
Matumizi yote napata ila hanipeti peti nimweleweje?
Am missing you so much!Nipo sana tu,
asante sana dearHi, mrembo nilichokiona wewe unampenda sana huyu jamaa. sasa tulia muhifadhie huo upendo usijirahisishe kwake, kama anakupenda akija mpe huo upendo, pia jiongeze kwa kufanya biashara kama anakuwezesha asije kukukimbia ukabaki zero.
ila kikubwa jiongezee mwenyewe usipende vya watu hawa
akiwepo na mm ananipet akiondoka imetokaMnapokuwa nae faragha unashindwa nini kumwomba awe anakupeti peti. Kama anakupa vingine vyoo-o-te kwani hiyo peti-peti atashindwa? Mbona hujifunzi kuridhika? Wanawake! Du!
hahahahahaWewe achana na maneno matamu, maana ndo yameifikisha nchi hapa ilipo
unaweza kuwa na point hapa....nitafatiliaHuyo mwanaume atakuwa na mke wake kwahiyo wewe ni mchepuko wake na anakupa kila kitu kukufumba sawa tunaitaji pesa lakini uwepo wake karibu maneno matamu ndo kila kitu
MMMMH HAMUELEWEKI NYIE SASAUpande mwingine wa shilingi ni muhimu tena sana.
Otherwise huyu dada akija kupata kazi nzuri na kujiweza kiuchumi yuko likely kumuacha jamaa.
Hitaji la kwanza la mwanamke katika uhusiano wa kimapenzi si pesa wala vitu