GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Ni hali ya hewa ya ubaridi ndiyo imepelekea hiyo mboga kupatikana kwa wingi Njombe Mjini?
Nimeshangaa kukuta mabucha pamoja na "vijiwe" vya kuchomea kitimoto zaidi ya moja sehemu moja.
Wakati kilo moja ya nyama ya ng'ombe ikiuzwa sh 9,000/=, kitimoto inauzwa sh 6,000/= kwa kilo.
Kwangu, hayo ni maajabu kwa sababu katika mikoa mingi niliyofika, bei ya kitimoto ama ni ghali kuliko nyama ya ng'ombe, au inalingana nayo.
Nimeshangaa kukuta mabucha pamoja na "vijiwe" vya kuchomea kitimoto zaidi ya moja sehemu moja.
Wakati kilo moja ya nyama ya ng'ombe ikiuzwa sh 9,000/=, kitimoto inauzwa sh 6,000/= kwa kilo.
Kwangu, hayo ni maajabu kwa sababu katika mikoa mingi niliyofika, bei ya kitimoto ama ni ghali kuliko nyama ya ng'ombe, au inalingana nayo.