Maajabu ya Mbowe, Fatma Karume na Zitto: Wako kimya licha ya gharama za maisha kupanda. Kipindi Magufuli kaziba maslahi yao kelele kila siku!

Status
Not open for further replies.
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana.

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake.

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!
Kama waona ni rahisi piga na wewe maana wakiwekwa ndani au wakiandaa maandamano sote twajifungia, wakikamatwa sisi maisha yetu yanaendelea.
Inafika mahala mtu anaona hawa naowapganoa huenda hata hawaumii nina kiherehere tu.
 
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana.

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake.

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!

Kwani mwigulu anasemaje
 
Nakumbuka nilishawahi kusema humu kuwa hakuna mwanasiasa anayempenda mwananchi. Wanasiasa wapo kwa ajili ya utawala tu. Wao wanataka utawala. Mwanasiasa anakuwa rafiki wa mwananchi pale anapotaka kitu fulani au anapoomba kura tu. Baada ya hapo hana muda na wewe
Kweli kabisa !!
 
Watanzania gani ambao unataka wapiganiwe?! Hawa ambao ni wanafiki na wajinga! The mentioned people wamejitolea maisha yao, kazi zao, wamepoteza mali na hata wengine uhai wao lakini ni namna gani watanzania wanashikamana nao? Hakuna.

Wapinzani wakae walambe asali, waache msumari wa ugumu wa maisha uendelee kuingia.
 
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana.

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake.

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!
Yaani sisi Watanzania tumtegemee Mbowe aliyetoka jela majuzi na chama chake chenye mbunge mmoja wa fitna? Halafu Zitto Kabwe na Fatma Karume? Lini tuliwategemea hawa "wasaliti"? Hili bandiko ni kudharau uwezo wetu wa kufikiri. Wewe endelea kumuomboleza Magufuli kisha tafuta namna ya kumlilia mrithi wake kuwatetea Watanzania "wanyonge". Hakuna mwenye monopoly ya kupigania haki.
 
Nakumbuka nilishawahi kusema humu kuwa hakuna mwanasiasa anayempenda mwananchi. Wanasiasa wapo kwa ajili ya utawala tu. Wao wanataka utawala. Mwanasiasa anakuwa rafiki wa mwananchi pale anapotaka kitu fulani au anapoomba kura tu. Baada ya hapo hana muda na wewe
Hata Magufuli, rais wa wanyonge, alikuwa hivi? Au yeye alikuwa "exception".
 
Nakwambia utambue Mbowe hajahawi kuwa mwanasiasa yule ni jambazi kama majambazi wengine! Kilichokuwa kinamfanya ampinge sana Magufuli ni ukabila wake tu! Mikengeza ataendela kuwatapeli miaka yote manyumbu mnashanglia! Hajawahi hata kujenga Godauni la chama pale ufipa tokea miaka hiyo mnakaa kwenye Gofu harafu ujinga mmoja anaema CHADEMA ina maono! Stupid!
Kumbe wewe ni mjinga.Sasa kama unajua mbowe ni jambazi inakuaje unataka akusemee kwa ujinga unaofanywa na viongozi wako.Nchi imewashindeni alafu unataka kupeleka lawama kwawengine.Kwani kuna ndugu yako aliyekwenda kumuomba mbowe awe mwanasiasa wakuwasemea matatizo yenu au aliingia kwenye siasa kwa utashi wake.serikali mnayo wenyewe kila kitu chakwenu alafu unataka kusumbua wengine.Punguza ujinga hapo lumumba.
 
Mleta mada ukiendelea na tabia hii hutakuja kufaulu katika mambo mengi sana!! Nazungumzia tabia ya kutaka kusikia tatizo limezungumziwa lakini anayelizungumzia hana uwezo wa kulimaliza!!

Ninkweli uliowataja hawajazungumza sana kuhusu maisha kupanda! Lakini je, wakishalizungumzia ndio linatatuliwa? Kwa level yako ninachotafuta kujua ni je, serikali inafanya mambo yanayozungumzwa na hao uliowataja??

Badala ya kulalamikia hao - shauri Makamu Mwenyekiti wa CCM. Katibu Mkuu wa CCM. Waziri Mkuu na Spika wayazungumzie ili tuone tofauti!! Kama vipi, nenda polisi kapate kibali cha kufanya maandamano ya amani kuishinikiza serikali kushughulikia bei za bidhaa muhimu. Ukipata kibali hicho nitaungana na wewe kufikisha ujumbe kwa wafanya maamuzi.

Aina yako ya raia ndio tatizo la msingi la nchi hii. Watu wasiojua kipi kifanyike wapi, kwa nani, wakati gani na kwa njia zipi!!
 
Hali tete nini? Huwa hamtakiwi huyo Mikengeza wenu akosolewe! Lini ulimsikia Mbowe nazungumzia gharama za maisha zaidi ya kuzungumzia mambo yake ya sasa uchwara!

Katiba mpya sio cha kula mzee! Ndo maana hata Mbowe katina yake ya chama haifati! Mwenyekiti zaidi ya miaka 15! Katiba bila uzalendo ni makaratasi yenye waandishi tu yasiyo na maana!
Huwezi kujadili hoja bila kutaja ulemavu wa mtu?.Au kwavile wewe hatukujui.Jinga wewe.
 
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana.

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake.

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!
seen
 
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana.

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake.

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!
Wewe unataka upiganiwe haki zako ebo ingia barabarani upambane bei zishuke
 
Wewe mtoa hoja umepigania nini kuiletea nchi hii unafuu kwa raia wake, huu ni uzuzu mwingine Kuja kujificha huku na I'd fake, uoga wako na kuwafanya wanaume wengine wakupiganie ni upumbavu at it's best, toka mtaani na pigana kama unaona haki yako imeminywa na next time acha kutuletea mada za kinafiki, Mr.Mbowe amefanya mengi kukupigania kunguru wewe sasa jiulize wewe umefanya nini?
Wew ni mpu**mbavu kwani huyo mboe na zitu ni wenyekiviti wa kampuni zao Sasa kwanini waseme wao viongozi taasisi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana.

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake.

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!
Unawakosea Hao Watu. Japo sijawahi kuwakubali Hata mara Moja wanasihasa Wa kibongo. Ila Fatuma Nampenda sana anavyoongea. Siku zote nilijua ana Mume ningeshapeleka posa Siku nyingi.
,

Hao wanasiasa hawana tatizo na Bei za mafuta Wala chakula mana pesa wanazo. Tatizo lao ni Demokrasia ambayo nayo Kwa wananchi sio kipao mbele.
Kwa Hiyo wao wanapigania maslahi yao na awamu Hii wameyapata. Hawana shida na maisha ya Watanzania kama ilivyo CCM Kwa Miaka 60 Bado tunaagiza Ngano Kutoka Urusi. Tunaagiza viberiti Kutoka china na kushindana Kwa vilabu Kununua Jezi Toka China badala ya kutengeneza KWENYE viwanda vyetu vya ndani. Soko kubwa la Tairi za magari lipo Lakini Cha ajabu kiwanda cha General Tyre ndio kinakufa kifo Cha Ménde na hakuna anayejali ndani ya CCM mana wanapiga madili Kwa matajiri wanaoagiza bidhaa nje ikiwemo Tairi Toka China.

Viongozi Wa Dini wanapigania maslahi ya Dini Zao ,wanasihasa wanapigania maslahi ya Siasa na wananchi wakiona Kuwa mfumuko mkubwa Wa Bei unaathiri maslahi yao basi wajitokeze wapiganie maslahi yao. Vinginevyo wasimbebeshe mwanasiasa mzigo Wa kupigania maslahi yao.

Kagame aliamua kuingia msituni baada ya kuona anaishi uhamishoni kama mkimbizi Wakati anaweza kupigania haki yake ya kuishi Rwanda kama shujaa. Alipambana na Sasa ndiye Rais mzalendo kuliko Marais Wote Afrika. Angekaa kimya asubiri wanasihasa wenye vyama wapiganie maslahi yake angefia uhamishoni kama digidigi.
 
Binafsi napata mshangao sana Mafuta yanapanda zaidi na zaidi ,sio Mnyika ,sio Zito,sio Mbowe ,sio upinzani Maisha yanakua magumu kwa wananchi wengi ila kuna mtandao unanufaika zaidi

Awamu YA tano wakati serikali inajenga miundo mbinu ,upinzani walikua wanasema wananchi hawali miundo mbinu

Sasa hivi hawasemi wananchi kama watakula Katiba
Na wakati uchaguzi unaharibiwa 2020 ulikuwa wapi ? , Wakati Lisu anapigwa risasi ulikuwa wapi , wakati Mbowe anabomolewa billcanas na kufungiwa accounts zake ulikuwa wapi , wewe msukule ulikuwa wapi wakati makufuli anaua watu uchaguzi WA 2020 na kuwapitisha hao misukule wenu Bungeni ? , Ulikuwa wapi wewe zwazwa wakati makufuli ametengeneza vikosi vya mauaji na mateso dhidi ya wapinzani aka wasiojulikana , ulikuwa wapi wakati Ben Saanane na Azory Gwanda wanapotezwa na kuuawa , ulikuwa wapi wewe na werpuuz wenzako wakati akwilina anauawa ?

Mnafiki
 
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana.

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake.

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!
kilaza ktk ubora wako mbowe, zito na shangazi ndo wamepandisha gharama za maisha? acha uvivu wa kufikiri machungu na umasikini wa watanzania umesababishwa na nyinyi MACCM. shame on you
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom