UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,529
- 7,732
Ni kweli huyo trafiki alifanya kosa kuomba na kutaka kupokea rushwa; lakini huyo mzee angefanya hivyo kwa mila rushwa mikubwa kama kina JK, EL, RA, AC, nk, angefanya la maana zaidi.
source:- TV asilia