Maajabu: Rais anateua Katibu wa Bunge kabla hata hajapewa majina 3 yaliyopendekezwa na Bunge kwa Mujibu wa Sheria?

Baada ya uteuzi mpya kufanyika stori zinaendelea. Aliyekuwa Katibu wa Bunge Dr.Kashilila amepumzishwa na atapangiwa kazi nyingine.

Nimetafakari sana tatizo itakuwa nini au ni uhamisho wa kawaida?

Katika siku za majuzi kati Katibu alifanya matukio kadhaa ambayo nadhani yatakuwa yamemgharimu.

Kuandaa vikao kati ya familia ya Lissu Tundu Lissu, Bunge na Chadema pamoja na TLS kuhusu jinsi ya bunge kusaidia matibabu ya Lissu

Lakini pia kuna zengwe la kuruhusu gari ya KUB Mbowe kwenda Nairobi

Haya ni mastori ya Town
Pia kumbuka na maandalizi ya kubadili katiba, ili uchaguzi uwe miaka 7,ni lazima aweke mtu wake huko
 
Huenda mtoa mada hashangai kuhusu raisi kuteua katibu wa bunge labda anashangaa hii power aliyonayo rais na uhuru wa utendaji kazi wa mihimili mingine
 
Mimi sikuwahi kufahamu wala kufuatilia namna Katibu wa Bunge anavyopatikana katika teuzi za leo katika Baraza la Mawaziri kumefanyika pia mabadiliko ya Katibu wa Bunge.

Mabadiliko haya yamefanywa na Rais Magufuli!

Sitegemei kama uteuzi huu ni wa bahati mbaya,inamaanisha Rais ndio mamlaka ya uteuzi wa Katibu wa Bunge.

Naomba kudhibitishiwa hivyo lakini pia tusaidiane kushangaa jinsi mgawanyo wa kimadaraka katika mihimili yetu ulivyo wa ajabu na hovyo.

Aliyeandika hii post hajui kitu kuhusu utumishi wa umma hasa mamlaka za kinidhamu na kanuzi za utumishi wa umma 2003. Watu humu wanajifanya wajuaji, wanajifanya kufahamu kuendesha nchi wakati sheria na kanuni za kuendesha nchi zilizopo hawazijui, ni mbumbumbu wa sheria na pia ni mbumbumbu wa kanuni.

Jamani jifahamisheni, kama hujafanya research haki ya kuongea tena kutuhumu unaipata wapi? Mnatumia hisia zenu? Mtatuletea shida na hizo akili zenu za mkia wa mbuzi
 
Waswahili aisee ni tabu kweli. yaani kelele zote hizo kujifanya mnajua siasa na sheria zote kumbe hata Katiba ya nchi hamna! Tena hamjui hata Katibu wa bunge anachaguliwaje! Lakini kitu kucha ni siasa tu! Halafu mnajiita watetea maslahi ya nchi wakati hata katiba ya nchi hamna. Uzalendo uko wapi?
Hii ni aibu ya mwaka.
 
Watu wanatoka mapovu kamshambulia mleta mada lakini weledi tumeelewa, hongera [HASHTAG]#Okw[/HASHTAG] boban sunzu hata waliokuwa hawajui wamejua kuwa tuna mungu mtu.
 
Zingatia maudhui ya uzi wangu,hasa hoja ya mgawanyiko wa mihimili,usikimbilie kunikashifu wewe inatimia real ID so nitakukashifu mpaka utashangaa,senge wewe
Kaka tatizo heading ya Uzi wako "Umeita kitendo cha Rais kuteua Katibu wa Bunge ni Maajabu" as if ulikua na uhakika na ulichokua unakisema, kumbe uelewa wako wa mambo ya Katiba ndo ulikua mdogo. Ulitakiwa uulize " Hivi Rais ana mamlaka ya kuteua Katibu wa Bunge?" Then ungejibiwa vizuri bila kejeli.
 
Uteuzi wa Katibu wa Bunge

Rais ameendelea kuvunja Sheria za Nchi.
Sheria ya Utawala wa Bunge inataka Rais kuteua Katibu wa Bunge kutoka kwenye orodha ya watu 3 ambao wamependekezwa na Tume ya Huduma za Bunge.
Rais John Magufuli ameteua Katibu Mpya wa Bunge bila mchakato huu kufanyika. Ni dhahiri kuwa Rais amefanya Hivi ili kuendelea kudhibiti Bunge.
Rais amevunja sheria.
 
  • Thanks
Reactions: bne
d5395d99de68af4ada726e695b6c5331.jpg
 
Tatizo mnabishana tu hamsomi katiba mbona mambo haya yalikuwepo tangu kitambo sana na mnashangaa kwa sababu katibu aliyekuwepo aliteuliwa na kikwete na hivyo Magu alimkuta hakumbadilisha sasa leo anapofanya mabadiliko mnaona katiba mbaya someni katiba
 
Haka kanchikana matatizo mengi sana ni kila siku matatizo yanaendelea kuongezeka.Sasa kama katibu wa bunge anateuliwa na rais halafu inakuwaje kusema kweli.Kwa hali hii itabidi tuanze kudai katiba mpya tena kwa nguvu na rabsha nyingi maana
 
Aliposema Mhimili wake umejichimbia chini mnoo na hao wengine wote lazima waimbe mapambio ya kusifu na kuabudu huku wamepiga magoti ili mpwa asaini mafungu ya fwedha, HAMKUMUELEWA kumbe
 
Katiba ndio inasema ivo kuna kila sababu ya kuwa na katiba mpya hii ya 1977 ina Mambo hajakaa sawa kwa hali ya sasa, Kila muhumilli ni vyema uwe huru na usitegemee kuingiliwa na mwingine ktk kuteua Watendaji
 
Bunge ni Mhimili unaojitegemea uwiiiiiiiiiii ila eti mtendaji wake Mkuu Anateuliwa na Bos wa Mhimili mwingine ambao Bunge linapaswa kuusimamia hahahaaaaaaa Hata ukiwa mjinga kiasi gani Lazima utaona upuuzi wa Katiba butu tulonayo na Utakuwa Mjinga na Mpumbavu ukija kutupumbaza eti Serikali haiuingilii na kuupangia cha kufanya Huu Mhimili ambao Spika anatuongopea Uko huru
 
Back
Top Bottom